Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,319
- 33,125
Wikiendi hii, mapaparazi wa mtandao huu walitua pande za Tabata Kimanga jijini Dar es Salaam nyumbani kwa msanii wa muziki wa kizazi kipya, Dully Sykes a.k.a Mr.Misifa. Bahati mbaya hawakuweza kumkuta lakini waliishia nje ambako walivutiwa na hali ya jiko lake pamoja na dishi la Runinga yake. Hebu cheki ilivyokuwa...
<!--ThumbBegin-->
<!--ThumbEnd-->
Huu ndio muonekano wa picha ya jiko la staa wetu Dully Sykes Handsome Boy ambaye picha yake inaonekana hapo juu
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hapa ni mahali anapotumia kupikia chakula chake.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada ya kula huhifadhi vyombo vyake juu ya kochi hili la mbavu za mbwa bila kuviosha ambapo nzi hufanya tafrija kwenye makombo. Hapa ni baada ya kupata kifungua kinywa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hili ndio kabati lake la kuhifadhia vifaa vyote vya jikoni.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.Hili ndiyo Dish ambalo 50 Cent wa Bongo, Dully Sykes hulitumia kwenye Runinga yake, ambalo ameligeuza kamba ya kuanikia nguo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Pembeni ya nyumba ameegesha mkoko (gari) wake wa maana ambao hata hivyo ulikuwa na pancha katika tairi lake la mbele upande wa kulia.
http://www.globalpublisherstz.com/
Huu ndio muonekano wa picha ya jiko la staa wetu Dully Sykes Handsome Boy ambaye picha yake inaonekana hapo juu
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hapa ni mahali anapotumia kupikia chakula chake.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Baada ya kula huhifadhi vyombo vyake juu ya kochi hili la mbavu za mbwa bila kuviosha ambapo nzi hufanya tafrija kwenye makombo. Hapa ni baada ya kupata kifungua kinywa.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Hili ndio kabati lake la kuhifadhia vifaa vyote vya jikoni.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Ukishangaa ya Musa utaona ya Firauni.Hili ndiyo Dish ambalo 50 Cent wa Bongo, Dully Sykes hulitumia kwenye Runinga yake, ambalo ameligeuza kamba ya kuanikia nguo.
<!--ThumbBegin--> <!--ThumbEnd-->
Pembeni ya nyumba ameegesha mkoko (gari) wake wa maana ambao hata hivyo ulikuwa na pancha katika tairi lake la mbele upande wa kulia.
http://www.globalpublisherstz.com/