Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Wengi hamfahamu lakini popularity ni mtaji wa kisiasa!!
Wengi hamfahamu lakini popularity ni mtaji wa kisiasa!!
Karibu sana JF. Napenda kukutaarifu/kukusisitiza kwamba this is home of Great Thinkers na sio upuuzi
JF haina uhusiano wowote na chama chochote cha siasa. Kunawanasiasa wengi tu ambao ni member hapa JF, ila JF sio member wa chama chochote. Hivyo huna sababu ya kuwajulisha cdm kuwa wewe ni gamba kupitia JF.
Kuhusu uhalifu, sote hatukubaliani, lakini hatuwashughulikii kwa kuwaua. Hivyo ni kinyume cha sheria. Au waliyemuua mwana ccm ni wahalifu kuliko walioua tarime!? .
Kama kweli wewe ni ccm na unadhani cdm itasubiri miaka 100 kushinda uraisi, pole sana! Sijui upo kwenye shimo gani? Waulize akina Butiku, Kaduma, nawengineo watakuamsha na sio kusikiliza redio uhuru tu!
na nyie uzinzi unawaharibu kuanzi desh-desh wenu mpaka n*pi nnauye mropokaji
hivi ni lini ccm na mwenyekiti wao watajifunza kuwajibika kwa makosa yao! kila inapoletwa hoja ya maana juu ya mustakabari wa nchi na wananchi wana ccm haraka hukimbilia kusema cdm! Haya hapa hoja ni kwa nini rais anachagua wananchi wa kuwalinda! Haraka wanaccm wamekimbilai cdm! Ni lini ccm mtaacha kuota juu ya jinamizi la chadema?
Muganyizi punguza jazba,halafu great thinker ni mtu mwenye busara, huwa hatukani ovyo.kuolewa ni sehemu ya maisha, kama vile ambavyo wengine wanavyoishi kwa namna mbalimbali.hebu niambie wale wananchi unasema walikusanyika kudai haki zao, je haki inadaiwa kwa mapanga? na kwamba ndio unasisitiza kuwa watu wadai haki kwa mapanga?
Hodi wana JF. nimekuwa ni msomaji maarufu sana lakini nikawa nashindwa kuchangia hoja kwa kuwa sikuwa member wa jamvi.lakini nimelazimika kujiunga nanyi ili tuwe pamoja.ila nasikitika kuwaarifu wana chadema kuwa mimi ni gamba laini (ngozi) ambayo kila mtu anayo,kwa hiyo sisi sote ni watu wa magamba ila magamba hayo yanapokuwa magumu kama ya nyoka au kenge basi upo umuhimu wa kuyavua ili libaki gamba laini.Sasa ndugu yangu ,kama serikali itawaacha watu wafanye watakalo,nchi hii hatafika popote.walevi wataenda kuvamia TBL ili wapate bia za bure,majangili watavamia mbuga wapate meno ya ndovu na kila mtu atafanya ki vyake.hebu fikiria kama polisi wasingefanya hivyo walivyofanya,leo hii mgodi huo ungekuwaje.hebu niambie hao chadema wakichukua nchi watawanyanganya polisi SMG zote wa wabakiwe na virungu? wahalifu ni wahalifu tu hata kama watakuwa ni ndugu zako wa tumbo moja.Tusikumbatie ujinga, hakuna nchi au serikali inayopenda kuua watu wake, lakini pia hakuna serikali inayokubali kundi la wahuni kuvuruga utawala wake,hao watashughulikiwa kwa nguvu zote.subirini chadema ichukue nchi ili mukagawane hizo dhahabu na wanyama huko serengeti,miaka 100 sio mingi mutatawala tu.
Hapana mimi nina mtazamo tofauti na wewe. Huyu ni mtu aliyepewa atulindie nyumba(nchi) yetu kwakutoa maamuzi fulani fulani, ni mtu anayejua siri ya pato la nyumba (nchi) na matumizi yake etc. Inabidi uwe unafuatilia kwakaribu nyendo zake hasa unapoona mambo yanaenda mrama maana, unaweza kuamka ukakuta nyumba si yako tena. Akiachia ngazi au kumaliza muda wake no body will bother. Nafikiri hilo liko wazi hata kwa marais waliopita.Kweli nimeamini kikwete ni Popular sana, never goes a day without having a post about KIKWETE this shows how much support Mr President is enjoying even during these tarbulent times.
Kweli nimeamini kikwete ni Popular sana, never goes a day without having a post about KIKWETE this shows how much support Mr President is enjoying even during these tarbulent times.
wewe ndio unapaswa ujipime, sioni tatizo la hii nyuzi.
Namuunga mkono mleta nyuzi, jk ana watu ambao anafikiri wanastahili kuishi na wengine hawana haki hiyo. Jk ni muuaji, yeye ni amiri jeshi mkuu, mauaji yote yanayofanywa na majeshi yetu yana mkono wake, na sidhani kama muuaji anaweza kutoa tamko au rambirambi za mauaji aliyoyafanya.
alipouawa Prof. Mwaikusa, wauaji walisakwa?Jesuit: I guess haupo mentally ok. Hivi habari iliyoletwa hapa ina uhusiano gani na CHADEMA? Ni watu wangapi wameuawa na majambazi hapa nchini na hatukuwahi kusikia Rais akitoa tamko lolote? Iweje leo ameuawa kiongozi wa CCM basi harakaharaka kuagiza wauaji wasakwe? Ni mara ngapi wameuawa watu mhimu kwa nchi yetu wakiwemo maprofessor ambao tunawahitaji sana kwa maslahi ya wengi, lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa na serikali kukabiliana nayo? Je unakumbuka yale mauaji ya watanzania zaidi ya 10 kule ukerewe? Rais alisema nini juu ya yale? Acheni ushabiki wa kishamba jamani, ihurumieni nchi yenu. Huyu Rais ana shida, nashangaa kwanini watu hamuoni hilo
Chadema lile gugu (weed) linawaharibu kabisaa. Kuanzai mwenyekiti wenu , katibu na wafuasi sasa mnaropoka utumbo tuu!