Kwa hii style CCM inachukua tena Ikulu 2015. na hii siyo mpya kwa ccm, kwa wanachadema muulizeni Bob makani jimboni kwake miaka yote aliyokuwa akigombea alikuwa anaumizwa vipi, I remember it was the same style. Mwananchi akisha jua kuwa mkutano wa CCM kuna kupiga mpunga na wa chadema ni maneno matupu basi mikutano ya ccm itafulika ile mabaya. vijana wengi wana njaa ya kufa mtu watarudi ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.