Hapa ndipo ninapoipendea CCM

Hii staili ya CCM ya ubwabwa hii mbona kama vile .......mmmh!!!.............ngoja ni-reserve comment mpaka nitafute kauli ya Rev. Masa
 
UNajua mimi huwa siamini kwamba watu hupewa ubwabwa!!!

Is this true? Is it a CCM startegy?
 
Hivi hatuna mwana JF toka Takukuru ?? angalau atufahamishe walichukua hatua gani.....kwa huu ubwabwa........
 
Hii staili ya CCM ya ubwabwa hii mbona kama vile .......mmmh!!!.............ngoja ni-reserve comment mpaka nitafute kauli ya Rev. Masa

166649_193157790700856_100000199094899_825364_4376743_n.jpg


Hii style imeanzia ngazi ya taifa mpaka huku chini
 
Jamaa amesimama pembeni ana pen na note book kurekodi idadi ta sahani zilizogaiwa. Halafu maharage yameisha sahani mbili kavu, duh!
 
Jamaa amesimama pembeni ana pen na note book kurekodi idadi ta sahani zilizogaiwa. Halafu maharage yameisha sahani mbili kavu, duh!

hapo unapita na kadi yako ya kura inanakiliwa namba....
 
Back
Top Bottom