Ndio uko safarini na kafamilia kako mara tumafuta ulitoweka tunaishia katika mazingira haya......inakuwaje hii????....!!
ila kumbuka simba akinyeshewa mvua bado ni simba na hafananishwi na kondoo?hapo ukipiga honi jamaa watatoka mkuku!
Hapo ndio kifo chenyewe maana akikanyaga tu hakuna kinachobaki.
Hawa ni Simba wanaofugwa hivyo hawana madhara kama wa porini maana walivyokaa ni kama hawajali kitu,ingekuwa wa porini hapo ungeona shughuli madirishani.Ndio uko safarini na kafamilia kako mara tumafuta ulitoweka tunaishia katika mazingira haya......inakuwaje hii????....!!
...You really made my day!!!!.......:becky::becky::becky::becky::becky::becky:0700 01X025 - Halooo !! bwana mdogo njoo na mafuta lita tano hapa kona ya kuingia mikumi gari limekata wese. Tatizo afike hapo akute hao wadudu bado wanazunguka hapo !!!
Photoshop at work! Simba wakubwa kuliko motokaa