jimbo yataludi tena bila jasho,sisi tulimchoka Masha na Diallo,wapo vijana wa uhakika sasa wana piga jaramba muulize huyo mjaluo wako hata kazi aliyoomba haijui na sijui anatarajia kuwaambia nini wanamwanza mwaka 2015.
Mimi ni mkazi wa Mwanza nataka kukujibu kwa ustadi.
1. Barabara ya Pamba inajengwa na Tanroad ambayo iko chini ya wazari ya John Magufuli Pombe..
...Maswali:-
..a). Magufuli ni mwana CCM au chadema
..b. Foleni huwepo kati ya Buzuruga-Mabatini; foleni hii huwepo kati ya 1:30-3:00 Asubuhi na 11:45 hadi saa 1:30 Jioni.
Tatizo hili litatatuliwa kama barabara zitajengwa aina za:-
1. Two ways Traffic kutoka kutoka:-
i. Kisesa-Nyerere Road
ii. Airport-Nyerere Road
iii. Buhongwa-Pamba Road
2. Watengeneze Fry Overs pale Mabatini kuruhusu watu kuvuka bila kuzuia magari katika lile bumbs la mabatini.
3. Barabara za by pass zijengwe
i). Toka Airport kupitia Miti mirefu hadi Buzuruga au Nyakato Sokoni.
ii). kutoka Usagara - Kisesa.
Shughuli hizi 3 za kujenga
a). By pass
b). Fry Overs
c). 2,3 or 4 ways traffics hujengwa na wizara gani? Si ya Magufuli?
Tuache kumzingizia Mhe. Ezekiel Wenje (Mb), naomba tumzingizie siku CHADEMA ITAINGIA MADARAKANI
Na itawacost sana maana hadi 2015! mtajuta kwa nini mlichagua wabunge wa ajabu ajabu!
Mmepotea rudini kundini matatizo yenu yatashughulikiwa haraka!
Kama upo mwanza azisha vugu vugu la kurudisha jimbo kwa wenye dola!
Umeelewa we KIJANA?
Igeni mfano wa watu wa Arusha hawatishwi na kuwa na mbunge au kutokuwa na mbunge kwa mizengwe, wao wameapa kuchagua upinzani.
Kutekeleza wajibu ni haki ya serikali kwa wapiga kura wake hata kama hawakukichagua chama hicho.
Hivyo tume ya katiba acha umboyoyo wako hapa jukwaani kwa kuwatisha watu eti watajuta!!!!!
Tumeshajuta tayari miaka hamsini sasa, au wewe hulioni hilo?
Mimi ni mkazi wa Mwanza nataka kukujibu kwa ustadi.
1. Barabara ya Pamba inajengwa na Tanroad ambayo iko chini ya wazari ya John Magufuli Pombe..
...Maswali:-
..a). Magufuli ni mwana CCM au chadema
..b. Foleni huwepo kati ya Buzuruga-Mabatini; foleni hii huwepo kati ya 1:30-3:00 Asubuhi na 11:45 hadi saa 1:30 Jioni.
Tatizo hili litatatuliwa kama barabara zitajengwa aina za:-
1. Two ways Traffic kutoka kutoka:-
i. Kisesa-Nyerere Road
ii. Airport-Nyerere Road
iii. Buhongwa-Pamba Road
2. Watengeneze Fry Overs pale Mabatini kuruhusu watu kuvuka bila kuzuia magari katika lile bumbs la mabatini.
3. Barabara za by pass zijengwe
i). Toka Airport kupitia Miti mirefu hadi Buzuruga au Nyakato Sokoni.
ii). kutoka Usagara - Kisesa.
Shughuli hizi 3 za kujenga
a). By pass
b). Fry Overs
c). 2,3 or 4 ways traffics hujengwa na wizara gani? Si ya Magufuli?
Tuache kumzingizia Mhe. Ezekiel Wenje (Mb), naomba tumzingizie siku CHADEMA ITAINGIA MADARAKANI
Na itawacost sana maana hadi 2015! mtajuta kwa nini mlichagua wabunge wa ajabu ajabu!
Mmepotea rudini kundini matatizo yenu yatashughulikiwa haraka!
Kama upo mwanza azisha vugu vugu la kurudisha jimbo kwa wenye dola!
Umeelewa we KIJANA?