Marire
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 12,326
- 5,264
Hili ni tatizo la foleni kuanzia Pamba road kuna kipande cha barabara mbele ya kituo cha polisi mkandarasi hana vifaa au pesa toka January anahangaika tu hapo.
Mabatini nako ni kero unaweza chukua saa zima kwenye hiyo bump; ukienda Buzuruga kuna vituo vya hiace vinatazamana vinafanya pawe na foleni isiyo na lazima; nataka nijue nani anahusika?
Mabatini nako ni kero unaweza chukua saa zima kwenye hiyo bump; ukienda Buzuruga kuna vituo vya hiace vinatazamana vinafanya pawe na foleni isiyo na lazima; nataka nijue nani anahusika?