VIKWAZO
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,899
- 580
- Thread starter
- #61
DUH kweli wee ni msukuma ndugu yangu hute
mbona jinalako sio masanja?
harfu hapo wakuu wanasema ni kidongo chekundu, mahali pa kurekebisha mwili,
yaani kama mimi navyokwenda GYM vigogo wanakwenda hapo.
mbona jinalako sio masanja?
harfu hapo wakuu wanasema ni kidongo chekundu, mahali pa kurekebisha mwili,
yaani kama mimi navyokwenda GYM vigogo wanakwenda hapo.
hapo alitembelea vijiji vya wandorobo bila shaka huko arusha, wale ambao wako primitive hadi leo, lakini asingekuwa rais ningefikiri labda alienda kuchimba....,(utani tu, mi ni msukuma mtani wake, usimaindi mkuu wa kaya ok).