Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Kwa mtindo huu,ni wabunge tu na matajiri ndo wanao furahia maisha,...wengi tuna washabikia katika siasa kumbe ni mlango wa ninyi kujipalia ulaji na kutusahau watanganyika wengine,..
Kwanini mnashindwa kukemea kupanda bei za bidhaa namna hii bila mpango?
Baada ya miezi miwili tutaishi vipi?
Nilikua nanunua mafuta ya taa 850 @lita,ona hii ya leo
Kwanini mnashindwa kukemea kupanda bei za bidhaa namna hii bila mpango?
Baada ya miezi miwili tutaishi vipi?
Nilikua nanunua mafuta ya taa 850 @lita,ona hii ya leo