ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
mambo mmu,
jaman kuna ka mkasa kametokea kwa jiran yangu kamenipa maswali kidogo
Jana jirani yangu ni Mnijeria, ameniita akaanza kulalamika kwamba binti wa kazi kampa mwanae nyonyo, ilikuwaje?? mwanamama huyu alikuwa nje na binti alikuwa ndani na mtoto wa miaka 5, mama akasikia binti na mtoto wanacheka ndani, akaita akamuuliza binti kuna nini, binti akajibu hakuna kitu. Mara mtoto akatoka akamwa mbie mamake kuwa sada( house girl) amenipa nyonyo, mama akashituka, sasa kwa vile mama yule hajui kiswahli vzur ndio akaniita niongoee na huyo bintie, kumuulza house girl kwa nn kimetokea akaniambia, yy alikuwa ameinama sasa nyoyo ikatoka nje ya blouse mtoto alikuwa chini so akaona ndio akamwambia mama ake lakini yy hakumpa, binti hakuishia hapo, akaniambia huyu mtoto( yaan hako ka boy ka miaka 5) kana tabia mbaya, eti huwa kana tabia ya kumshika makalio halaf kanasema nzuri sana( yaan makalio ya huyo dada ni mazuri sana) akaongeza kuwa kuna siku huyo mtoto alifanya hivyo mbele ya baba ake, na baba ake akacheka tu.Hapo maswali yakanijia nan anasema ukweli?? kama kweli huyu dada alimpa mtoto chuchuchu yake alikuwa namaanisha nn haswa, au alikuwa anataka nn??, na huyu mtoto kunani kumshika housegirl wowowo na kusema nzuri sana?? na baba mtt nae vp kuchekelea mwanae kumshika dada bambataa,???
hapa pana utata
huyo mtoto itakuwa anaona ya wazazi wake wakishika sio bure kwani unafikiri kayatoa wapi we muulize mamaye kama huwa wanashikana mbele ya dogo..