Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Ndugu zangu wenye upeo mkubwa kwenye mambo ya kisheria, naomba mawazo yenu kwenye hii scenario hapa chini:
Hapo zamani la kale baba yako kabla ya kufariki analikujulisha kwamba anashare kwenye shamba la ekari tano la urithi aliloachiwa yeye pamoja na nduguze wawili. Kutokana na kutingwa na majukumu unashindwa kabisa kutembelea lilipo shamba hilo kwa muda mrefu lakini unapopata akili ya kulifuatia unagundua kuwa ndugu wa marehemu baba yako walishaliuza na kugawana kimyakimya bila kukushirikisha. Ugumu wa kuwabana unatokana na sababu kwamba baba yako hakuwa na kitu chochote kwenye maandishi kuhusu umiliki wake wa shamba hilo, shamba lenyewe lilikuwa halina hati ya umiliki na ndugu za baba yako ukiwauliza wanakuambia- baba yako hakuwa na share!
Unaanzia wapi hapa kudai haki yako?
Hapo zamani la kale baba yako kabla ya kufariki analikujulisha kwamba anashare kwenye shamba la ekari tano la urithi aliloachiwa yeye pamoja na nduguze wawili. Kutokana na kutingwa na majukumu unashindwa kabisa kutembelea lilipo shamba hilo kwa muda mrefu lakini unapopata akili ya kulifuatia unagundua kuwa ndugu wa marehemu baba yako walishaliuza na kugawana kimyakimya bila kukushirikisha. Ugumu wa kuwabana unatokana na sababu kwamba baba yako hakuwa na kitu chochote kwenye maandishi kuhusu umiliki wake wa shamba hilo, shamba lenyewe lilikuwa halina hati ya umiliki na ndugu za baba yako ukiwauliza wanakuambia- baba yako hakuwa na share!
Unaanzia wapi hapa kudai haki yako?