K kaka h Member Sep 6, 2010 38 7 Sep 6, 2010 #1 je ni kwa nini raisi anaposhiriki uchaguzi haachi madaraka ya uraisi hamuoni hili linanyima haki sawa kwa wagombea.......
je ni kwa nini raisi anaposhiriki uchaguzi haachi madaraka ya uraisi hamuoni hili linanyima haki sawa kwa wagombea.......
Kiranja Mkuu JF-Expert Member Feb 18, 2010 4,066 4,085 Sep 6, 2010 #2 No haki in this country bwana. Ukitaka haki mfuate sweet heart wako.
Iza JF-Expert Member Jan 8, 2009 2,026 611 Sep 6, 2010 #3 THUBUTU....Aachie madaraka abwagwe ki-katrina..! Hii ndo aina ya viongozi wasiofanya kitu afu wanang'ang'ania madaraka..!
THUBUTU....Aachie madaraka abwagwe ki-katrina..! Hii ndo aina ya viongozi wasiofanya kitu afu wanang'ang'ania madaraka..!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Sep 6, 2010 #4 Kiranja Mkuu said: No haki in this country bwana. Ukitaka haki mfuate sweet heart wako. Click to expand... ....hata huyo sweetheart wako anaweza asikutendee haki pia.
Kiranja Mkuu said: No haki in this country bwana. Ukitaka haki mfuate sweet heart wako. Click to expand... ....hata huyo sweetheart wako anaweza asikutendee haki pia.
M MJM JF-Expert Member Mar 30, 2010 461 51 Sep 6, 2010 #5 Siyo rais tu hadi mawaziri pia. Ni moja kati ya mapungufu ya katiba yetu
M mjukuu2009 Member Jul 6, 2009 89 4 Sep 6, 2010 #6 Kweli kabisa apa kwenye katiba kunabidi marekebisho.uchaguzi ukimalizika tudai katiba mpya.
K kaka h Member Sep 6, 2010 38 7 Sep 6, 2010 Thread starter #7 Kiranja Mkuu said: No haki in this country bwana. Ukitaka haki mfuate sweet heart wako. Click to expand... wewe wenzako kila siku wanalia kwenye uhusiano........so wewe umerizika
Kiranja Mkuu said: No haki in this country bwana. Ukitaka haki mfuate sweet heart wako. Click to expand... wewe wenzako kila siku wanalia kwenye uhusiano........so wewe umerizika
S Shimwela Member Aug 20, 2010 8 0 Sep 6, 2010 #8 Tanzania haki itakuja kutendeka tu na pekee tu, kama watanzania watakapo kimwaga ccm,otherwise tusahau
Tanzania haki itakuja kutendeka tu na pekee tu, kama watanzania watakapo kimwaga ccm,otherwise tusahau