Laptop or Desktop?
Inawezekana vumbi limekua jingi katika feni au processor--so inaover heart then inajizima ili kuokoa proccessor isije kuungua AU check your RAM if they are okay...
That sound to be hardware problem. Inawezakuwa Ac adaptor, Inaweza kuwa power supply ndani ya laptop. Inaweza kuwa RAM. etc
- start in safe mode ikifanya hivyo hivyo then RAM itakuwa si tatizo.
- Kama inajizima wakati battery ina na full charge then Ac adaptor sio problem
- then tatizo linaweza kuwa power supply .kama alivyosema mdau mazd maybe ina over heat. angalia sehemu ya kupumulia laptop kama hakuna uchafu na vumbi kuganda ikiwezekana piga blower. Other wise ni dalili ya power supply kufa. tafuta mtaalam au kama wewe una vifaa ifungue upige blower na kusafisha
Any feedback!! tuwe na utaratibu ukipewa mawazo yakifanya/hayakufanya kazi julisha watu, nafikiri ni ustaarabu!