Hapa anaelekea wapi?

Top Thinker

Senior Member
Sep 8, 2011
183
125
580970_371918619518754_100001018582504_982329_1999103126_n.jpg






HAPA SIJUI ANAWAZA NINI??

GOD BLESS YOU OUR LOVELY PRESIDENT, WENGINE WANAKUPONDA MDOMONI LAKINI UPO MIOYONI MWAO.
 
580970_371918619518754_100001018582504_982329_1999103126_n.jpg






HAPA SIJUI ANAWAZA NINI??

GOD BLESS YOU OUR LOVELY PRESIDENT, WENGINE WANAKUPONDA MDOMONI LAKINI UPO MIOYONI MWAO.

Nyie leteni mzaha mwenzenu ana mawazo wale waarabu mpk saa hizi hawajampa chake. Au mnafikiri keshalipwa wale TWIGA wake?
 
Lakini kwa hii ndege nampongeza JK. Nchi haina hata ndege moja lkn yeye ana ndege, haya ni mafanikio kwa kweli. Edelea kusafiri mwadhama, Vasco da Gama hakuwezi wala nini, wewe ndio ****** bana
 
hivi kwanini hizo adha za hali ya hewa huwa haziipati ndege yake? manake naskiaga ndege nyingine tu zinadondoka lakin yakwake ukioanisha na safari zake hapati hizo dhahama. natamani siku upepo wa kisulisuli uipeperrushe ili tufungue ukurasa mwingine wa tanzania.
 
hivi kwanini hizo adha za hali ya hewa huwa haziipati ndege yake? manake naskiaga ndege nyingine tu zinadondoka lakin yakwake ukioanisha na safari zake hapati hizo dhahama. natamani siku upepo wa kisulisuli uipeperrushe ili tufungue ukurasa mwingine wa tanzania.

duh!!!!
 
hivi kwanini hizo adha za hali ya hewa huwa haziipati ndege yake? manake naskiaga ndege nyingine tu zinadondoka lakin yakwake ukioanisha na safari zake hapati hizo dhahama. natamani siku upepo wa kisulisliu uipeperrushe ili tufungue ukurasa mwingine wa tanzania.

Mkuu mswalie mtume :doh::doh: :target:
 
namuona mwana jf kwa nyuma yupo kwenye jukwaa la siasa, sijuwi atakuwa ni mkuu rejao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom