Leo nimesikiliza hotuba ya Nyerere akizungumzia siasa ni kilimo ya mwaka 1972. Nimesoma kitabu cha maazimio hayo ambayo ilikuwa ni kuacha jembe la mkono, umwagiliaji, kulima kwa kisasa, kutumia mbolea, madawa, ku process mazao bila kuuza raw material nje, kujitosheleza chakula nk. Miaka 40 sasa soma kilimo kwanza wame copy na ku paste yale. Je, miaka 40 hiyo CCM watuambie wamefanya nini kwenye kilimo?