S Sylver Senior Member Sep 8, 2010 113 5 Sep 13, 2010 #1 Je kwa idara zao hii ni sawa hata kama joto lalevya Attachments gse_multipart38776.jpg 25.3 KB · Views: 125
S Sylver Senior Member Sep 8, 2010 113 5 Sep 13, 2010 Thread starter #2 ILIKUWA Zanzibar celebrated its 42nd anniversary of its revolution PICHA TOKA DIRA YETU
kipipili JF-Expert Member Jul 29, 2009 1,590 183 Sep 13, 2010 #3 duu, hiyo balaa yaani wakuu wa ulinzi na usalama wanalala fofofo, kuna ulinzi tena hapo
pmwasyoke JF-Expert Member May 27, 2010 4,590 2,976 Oct 2, 2010 #4 Sishangai. Umri wa akina mzee Malechela kweli ni wa kuhimilii mikikimikiki ya kuwa macho muda mrefu?
L Linababy Member Oct 5, 2010 56 1 Oct 6, 2010 #6 kipipili said: duu, hiyo balaa yaani wakuu wa ulinzi na usalama wanalala fofofo, kuna ulinzi tena hapo Click to expand... nani kakudanganya wanalinda, hvyo ni vyeo tu na mavazi tu. Wanaolinda ni wengineeeee.
kipipili said: duu, hiyo balaa yaani wakuu wa ulinzi na usalama wanalala fofofo, kuna ulinzi tena hapo Click to expand... nani kakudanganya wanalinda, hvyo ni vyeo tu na mavazi tu. Wanaolinda ni wengineeeee.