Hao mawaziri wezi watabaki wabunge?

Moony

JF-Expert Member
Apr 16, 2011
1,599
435
Mimi si mjuzi wa mambo ya siasa ndo maana naomba kueleweshwa.

Hawa wezi wahujumu uchumi waliotumia vibaya madaraka yao wakiwa kazini kwa hakika watanyofolewa uwaziri.

Je ni sahihi wao kubaki kuwa wawakilishi wa majimbo yao?
 
Mimi si mjuzi wa mambo ya siasa ndo maana naomba kueleweshwa.

Hawa wezi wahujumu uchumi waliotumia vibaya madaraka yao wakiwa kazini kwa hakika watanyofolewa uwaziri.

Je ni sahihi wao kubaki kuwa wawakilishi wa majimbo yao?

Haileti maana kama wamepatikana na makosa na wakaenguliwa na Rais ya maanisha hawafai watabaki kwenye ubunge wa mwakilishe nani tunaomba wananchi nasi tuweke mkazo katika hili vinginevyo waweza wakabaki
 
Kwani vigezo vya mtu kuacha ubunge si vipo wazi? Kwa Tanzania hii ni mpaka kesi dhidi yao itakapofunguliwa na wakapatikana na hatia ndiyo wanaweza kupoteza sifa za kuwa wabunge. Vinginevyo kama tuna ndoto kuwa watajiuzuru basi itakuwa imeshakula kwetu.
 
Tunasubiri wapigwe chini,then huku majimboni tunalianzisha. Hatutaki kuwakilishwa na wabunge wezi...na sisi tunatafuta saini za wapiga kura 2000 then tunatuma wawakilishi pale ofisi ya bunge na ujumbe wetu ni hatumtaki mbunge wetu 7bu ni mwizi.
 
Tunasubiri wapigwe chini,then huku majimboni tunalianzisha. Hatutaki kuwakilishwa na wabunge wezi...na sisi tunatafuta saini za wapiga kura 2000 wenye kadi ya kupigia kura,then tunatuma wawakilishi pale ofisi ya bunge na ujumbe wetu ni hatumtaki mbunge wetu 7bu ni mwizi.
 
Wafunguliwe kesi ya jinai ili waachie ubunge na watakao chaguliwa wawe makini na waogope kuwa mawaziri.Sio tu kufurahia kuwa mawaziri bali watumikie wananchi.
 
Back
Top Bottom