Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,356
Hivyo eh? Yaani unaoga Jumapili unatakata Jumatatu.... orayt!:violin:Hahaha subiri uone ntakavyotakata sasa hivi:ranger:
Hivyo eh? Yaani unaoga Jumapili unatakata Jumatatu.... orayt!:violin:Hahaha subiri uone ntakavyotakata sasa hivi:ranger:
aauuuuchhh....this hurts.....
heri mm sikusema!...
Pole mwaego....... Basi tumia ndizi mbivu lol
nilikuona j2,nikapiga chabo kidogo mara nikaona kitumbua kimevimba ile kufika j3 wacha niugue kisa nimeona kitumbu...ha,ha,ha,...je ningekila?
Unamtoa kama rushwa au ndo ulevi wako!??
Jamani mshikeni huyu.....
hahahaaaa...!!!. miakuna mtu kama Preta yeye ukimwacha ndani ukaenda kunywa na yeye huku nyuma anaondoka,mwanamme unarudi sa tisa yeye alirudi saa nane,amechoka kwa kuchakachuliwa na wewe umechoka kwa pombe hapo nan mwaminifu,aliaga anaenda kunywa au aliye toroka kwenda kuchakachua.teh,teh,te,
Mie huwa Buhongwa na Mkuyuni wananiita sana
mmhuuu...!
Ha ha ha ha, kuna mdada mmoja alilia sana, kumbe kaenda Nyegezi bana
Ila botifulendi hakugundua akamrudisha kwao haraka akidhani ana matatizo.
Binafsi sijawahi kufanya research,lakini watu wengi hudai kuwa lazima mwanaume awe na ulevi mmoja wapo,lakn mimi huwa naona watu wengi wakilewa ndio hutaka wanawake,tabia hii anayo sana junior .Cux , Bishanga , erick52 , na Plantozoom kwa wanawake pia wakilewa huwang'ang'ania wanaume,wenye tabia hii ni kama Kongosho , FirstLady1 , shemeji yangu Kijino , CANtalista japo sio sana, charminglady tena huyu anaweza kukubaka akilewa kaanae mbali mita 100.Natoa tahadhari kwa wanawake watakao kuwa karibu na junior .Cux akiwa amelewa yatayo wakuta mtajua maisha
Ni kweli huwa nikizidiwa naona wadada wote kama wananitaka..kwa mfano hivi karibuni nilipiga bunduki kadhaa nikiwa pembeni na shemeji Madame B....Mida ya giza nene nikamwambia twende tukavumbue dhahabu..wala hakuwa na hiyana
Ni kweli huwa nikizidiwa naona wadada wote kama wananitaka..kwa mfano hivi karibuni nilipiga bunduki kadhaa nikiwa pembeni na shemeji Madame B....Mida ya giza nene nikamwambia twende tukavumbue dhahabu..wala hakuwa na hiyana