aauuuuchhh....this hurts.....
Kawaida kuna vitu vinaitwa interest au hobbies kwa binadamu yoyote yule, hii ndiyo inayowagawa watu kwa makundi kama yalivyotajwa hapo yaani wavuta sigara, walevi, mateja na kadhalika ikiwemo wapenda ngono. Sasa hutokea wakati ambao binadamu mmoja anaweza kuwa na zote kwa pamoja au akawa na baadhi yake na mambo kama hayo. Kwa maana hii haina maana kwamba kwakuwa mtu hana moja kati ya hizo basi ana nyingine...sio kweli.Mh..nipo ofisini kazi si nyingi kivile,
Tunapata early tea hapa niko na immediate bosi wangu na wadada wawili..
Topic of discussion: Mdada huyu mmoja ana mume yu masomoni Dodoma. Sasa wanamuuliza kama huwa anakuja akasema mara chache chache maana masomo yamebana. Wakaanza kumuambia anaibiwa. Then huyu mdada mmoja akamuuliza, "Mumeo ni mlevi au anavuta sigara?"
akajibu hapana...basi ndo kabisaaaa...waka-conclude anaibiwa!
Sasa jamani, hivi kuna ukweli kiasi gani kama mtu si mlevi na si mvutaji basi anapenda chini!??? They seem to be so convinced about it..
Mi nashangaa mbona babu Asprin, shem Kaizer, kaka et al ni walevi ila chini wanapenda sana...kuna ukweli kiasi gani!??
ila mbona mm nikinywa zikifika 6 tu, NYEGEZI ndio zinapanda sana!!...mpaka mia!
Ruhazwe JR, ameisoma kimya, kimya! tungojee mlipuko tu! vipi tumbo lakini, wajionaje hali asubuhi ya leo?teh,teh,teh.....nimemlipua mmoja hapo utachek atakavyo jibalaguza hapa
Binafsi sijawahi kufanya research,lakini watu wengi hudai kuwa lazima mwanaume awe na ulevi mmoja wapo,lakn mimi huwa naona watu wengi wakilewa ndio hutaka wanawake,tabia hii anayo sana junior .Cux , Bishanga , erick52 , na Plantozoom kwa wanawake pia wakilewa huwang'ang'ania wanaume,wenye tabia hii ni kama Kongosho , FirstLady1 , shemeji yangu Kijino , CANtalista japo sio sana, charminglady tena huyu anaweza kukubaka akilewa kaanae mbali mita 100.Natoa tahadhari kwa wanawake watakao kuwa karibu na junior .Cux akiwa amelewa yatayo wakuta mtajua maisha
Binafsi sijawahi kufanya research,lakini watu wengi hudai kuwa lazima mwanaume awe na ulevi mmoja wapo,lakn mimi huwa naona watu wengi wakilewa ndio hutaka wanawake,tabia hii anayo sana junior .Cux , Bishanga , erick52 , na Plantozoom kwa wanawake pia wakilewa huwang'ang'ania wanaume,wenye tabia hii ni kama Kongosho , FirstLady1 , shemeji yangu Kijino , CANtalista japo sio sana, charminglady tena huyu anaweza kukubaka akilewa kaanae mbali mita 100.Natoa tahadhari kwa wanawake watakao kuwa karibu na junior .Cux akiwa amelewa yatayo wakuta mtajua maisha
Poa umesomeka mkuu!!!!!!
huwa najiuliza sana,pombe hunywi lakin bar unakaa mpaka saa 9 usiku na soda moja ya fanta,huwa unangoja nini?......haka katabia kwako kamekua sugu sana na umri ndio unaenda hivyo utakaacha kweli!
ila mbona mm nikinywa zikifika 6 tu, NYEGEZI ndio zinapanda sana!!...mpaka mia!
ndio maana huwa unaanza kulia bar
Poa umesomeka mkuu!!!!!!
@Mmwaminifu haka katatizo kanakuhusu nini mbona unakimbilia kuhonga....teh,teh,teh,...