Sipendi hilo neno 'denda',sema kiss ama busu!!GROSS!!mambo vp Jf,simuelew mpenz wangu jaman,niliachana nae kitambo na tumerudiana hv karibuni,lkn hanipi denda na sababu anasema kuwa huko nyuma mate yangu yalimsababishia vidonda koon hvo dactari alimwambia asitumie demda!hv kwel mate yanazuliana?
Yamenishinda, nimeachana nae huyu, siwezi kuwa mtumwa wa mapenzi kihivyo.
Yamenishinda, nimeachana nae huyu, siwezi kuwa mtumwa wa mapenzi kihivyo.
Yamenishinda, nimeachana nae huyu, siwezi kuwa mtumwa wa mapenzi kihivyo.
Sipendi hilo neno 'denda',sema kiss ama busu!!GROSS!!
---Believdat---
lazima unanuka mdomomambo vp Jf,simuelew mpenz wangu jaman,niliachana nae kitambo na tumerudiana hv karibuni,lkn hanipi denda na sababu anasema kuwa huko nyuma mate yangu yalimsababishia vidonda koon hvo dactari alimwambia asitumie demda!hv kwel mate yanazuliana?
Haha haaaaaaa, Husny bhanaDuh! Nenda india ukabadilishwe mate.
mmmnh,sikujua kiss ni la muhimu hivyo kuwa a deal breaker...makubwa haya.