ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
ukome wenzio huwa wanaridhika kwanza kabla hawajabebana,inaelekea wewe na mwenzio mlibebana kwanza kabla ya kujihakikishia nq kuridhika kama anatick vigezo vyote kwenye checklist yako.....shaurilo umelikoroga sasa linywe......
1,mchukulie mkeo kama binadamu sio object/toy la kukustarehesha na kukufurahisha tu.....
1.acha kugonga nje,in that way you will stop making comparison kati ya mkeo na vimada wengine....
1.mume ni mtu,binadamu tu kama wengine sio mfalme wa kutumikisha mwanamke/wengine...badilisha kwanza haya mawazo.....
1.saidia kazi za nyumbani,watoto...mtoe mkeo for dinner/shopping....naye atamake 'efforts' 'kukuridhisha.........mnh
akisema yote hayo anafanya utamshauri ni zaidi ya hayo?