Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Unataka "akulizishe" kwenye idara ipi ya mke na mume? Usafi, mapishi, kwenye Wembley Stadium, au idara ipi!? fafanua
wembley stadium ndio nin? ushamba mzigo ati.
Unataka "akulizishe" kwenye idara ipi ya mke na mume? Usafi, mapishi, kwenye Wembley Stadium, au idara ipi!? fafanua
wembley stadium ndio nin? ushamba mzigo ati.
Jf never boring
Mke hamridhishi na anataka kumuacha na anawasikiliza wazazi wake kuhusu mke
Je aliwaolea wazazi wake au alioa kwa sababu yake mwenyewe
Uwanja maarufu wa kuchezea Kandanda/Soccer/Football uliopo London, UK. Sio ushamba banaaa....kuuliza si ujinga.
Jf never boring
Mke hamridhishi na anataka kumuacha na anawasikiliza wazazi wake kuhusu mke
Je aliwaolea wazazi wake au alioa kwa sababu yake mwenyewe
hanilizishi = haniridhishi
duh! aibu
sasa mie naona kwanza wewe you are not being true to urself...upo kupendezesha wazazi.
wazazi wameona mengi na ni muhimu kupata muongozo wao lakini wao ni wanadamu na wanaweza kukosea
ila kwanza ngoja niseme kuwa kama imefikia kuwa hakuridhishi basi wewe lazima ubebe lawama ya kuwa ulifanya uchaguzi mbaya.
baada ya hapo sasa mie naona sio haki kukaa kwenye nyumba ambayo mwsho wa siku wewe huna furaha na pia hii itaelekea mpaka kwa mke na watoto kama unao.....sasa paki vilago vyako ila angalizo ni kwanba muachane kistaarabu na hapa ndugu yangu kama kweli wewe mwanaume naomba kabisa ukubali kuwa mama apate nusu ya mali zako, na pia watoto watakaa kwake...hilo jiandae kabisa becoz wewe ndio ulimuoa na hivyo uamuzi wako mbaya lazima uwe tayari kuulipia.
kazi ni kwako!!!!
Kipipi taratibu mama/baba, mpe ushairi mwana wa mwezio.Are you sure we unamridhisha??
Nimekuwa nikipata taabu kwa muda mrefu kwani mke wangu hanilizishi kabisa, na wazazi wangu hawataki nimuache nisaidieni wanaJF
Nashindwa kukusaidia bwana. Maelezo yako ''hayanilizishi''. Doctor hawezi kukusaidi kama utamueleza tu naumwa. Inabidi ujielezee, from your story we can detect something. Hebu elezea kinachotokea hasa mkiwa hizo sehemu za ''kulizishana''. May be wewe ndiyo chanzo. Labda kila ukirudi unanuka mvinyo, au unaingia sehemu ya ''kulizishana'' bila kuoga, au kuna mgogoro na mwanamke ''hakulizishi'' kama mojawapo ya strategies zake za kufikisha ujumbe flani kwako. Kwahiyo kuna mambo mengi na hayo ni baadhi tu. Towa maelezo ya kutosha tukusaidie.