Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
Hadi leo amekaa kimya kuhusu malipo ya Dowans.
Sijui sisi wazalendo tumweleweje?
Sijui sisi wazalendo tumweleweje?
aISEEE HII NI KWELI KABISAAA KWA HIYO TUACHE NCHI ILIWEEE EEETI MKUUU!Ukishupaa na siasa za bongo utakufa siku si zako
Watanzania tulio wengi ni kama Misukule, tunatumikishwa na Mafisadi ila hatuna cha kufanya-eti amani. Acha tutumikiswe mpaka hatua ya mwisho kabisa ndio tutapata akili kwamba tulichukuliwa akili. Hata Somalia ikitulia itatupita kiuchumi. Rwanda ilikua vitani tukaisadia kupata amani leo intushinda ki uchumi. Kweli Watanzania tumewezwa ki-ufaham.