Kazi ipo, hizi avatar mpaka zinaleta watu JF!
nakwambia mkuu ni hatari.......alafu tunasema tunapambana na VVU?
Kazi ipo, hizi avatar mpaka zinaleta watu JF!
Nice pics, hujakosea Pearl they look alike, duniani wa2 wa2.
nzuriiiiiiii na wake zke hao
kumbe huyo na Graca naWinnie
eeeh mwenzangu
ingekuwa wabongo hapo wangewekeana poison kila mtu ananuna hakuna tabasamu
ingekuwa wabongo hapo wangewekeana poison kila mtu ananuna hakuna tabasamu
wauane kwa kipi wakati madiba mtarimbo umelala doro?
JS kwani Geoff alipata mchumba huku?Love is in the air between FL1 na Handsomeboy doh
Shosti FL1 hebu fanya hima sie tufungishe ndoa ya pili hapa JF ye Geoff ishakamilika ati
JS kwani Geoff alipata mchumba huku?
wauane kwa kipi wakati madiba mtarimbo umelala doro?
Love is in the air between FL1 na Handsomeboy doh
Shosti FL1 hebu fanya hima sie tufungishe ndoa ya pili hapa JF ye Geoff ishakamilika ati
halikuwa kama mimi maneno yangu ujue ushindi mwisho
dunia ya leo inabidi ujinade mwenyewe najiita, hila nina sumaku ya kuvuta wanavyodai.
kama ungejua FL1 wewe ndio sababu ya mi kujiunga humu ndani unauvutio fulani fulani hivi na maneno yako. hiyo avatar yako na hisi aiko tofauti na chombo chenyewe if not better.
Haya mrembo hila taratibu usijiunguze, mi wewe niiite chochote niweza kufika karibu yako (joke) kwi kwi kwi.
Hila unavutia sana we huji tu, sisi wengine ndio tunao umia FL1 kweli kabisa hiyo.
Bahati hiyo ningeipata ya kumtoa dinner mbona ningeringa sana masai mie. Si unaona anajiita FL1 ujue ni daraja la juu hilo. Kama ni timu ya mpira owner billionaire inalipa mwisho wa siku.
Hila kwa akiba ya maneno angenipa hiyo nafasi aje yeye tu na tumbo tupu mimi ntamalize mengine ale, anywe, acheze, afurahi mengine yatakua maamuzi yake im a gent unajua.