weka chura umo...akiinvgiza mkono anakutana na kitu kina dank dank bas aatapata mengneo...atakoma
afu atakuona mwanga
Naiman tupo wengi tunaokerwa
na hali hii ,mimi mume wangu ana the same tabia mimi sijawahi kumwuliza
ila naona nitaanza kwani mimi sijawahi hata kugusa pochi yake unless
kama natafuta kitu na awe amenituma
Habari zenu wapendwa, Jamani naomba mnisaidie nina tatizo dogo tu ambalo kadri siku zinavoenda naona linanikwaza, mume wangu kila nikirudi home kutoka job au popote tu lazima atavizia handbag yangu ataipekua, nimeshamkutia karibia mara 15 sikumuuliza wala sikuchukia, juzi nimemkutia tena na hafanyi hivo mbele yangu anapekua kwa usiri hivo ata kumkutia inakuwa ni bahati tu, hiyo ya juzi nilikuwa nimetoka chuo nikaenda kuweka handbag room, nimerudi sitting room nimekaa kama dakika 5 tu akaja nayeye alikuwa chumbani, akachungulia pale sitting room kaniona niko busy na mtoto akarudi tena chumbani, namie hapohapo nikaingia chumbani nikamkuta tena busy anachambua handbag yangu, jamani ata kama kuna kitu anatafuta kwa mara hizo zote angekuwa ameshakipata, mimi binafsi nachukia na nilishawai kumwambia karibuni tu kama mara ya 13 hivi kuwa kwanini unapenda kufungua handbag yangu, unatafuta nin nikamuuliza vipi mimi nikiwa nakagua mifuko yako ya suruali kila ukirudi utajisikiaje maana wanaume hawabebi handbag, nikamwambia naomba uwe na imani na mimi hili jambo kwakweli linanikwaza, tangia nimemwambia hiyo juzi kaninunia mpaka leo hii eid imepita kimyakimya tu, jamani nisaidieni nifanye nini ili huyu mtu awe na imani namm au anatafuta sababu?
Jiwe nimesahau tu kukujulisha ya simu, anaanzaga katika handbag anamalizia katika simu, tena simu ndio never miss, na wakati huohuo ana password ya yahoomail yangu, na anapassword ya fb pia, kwaiyo anapita huko kote daily japo sikwaziki katika hivo maana password nimempa mwenyewe
Jiwe nimesahau tu kukujulisha ya simu, anaanzaga katika handbag anamalizia katika simu, tena simu ndio never miss, na wakati huohuo ana password ya yahoomail yangu, na anapassword ya fb pia, kwaiyo anapita huko kote daily japo sikwaziki katika hivo maana password nimempa mwenyewe
Hiyo pochi haina ata vipodozi labda hand lotion tu ambayo ata chumbani ipo
Ni kweli hali hiyoinaweza kuja kumuathiri... lakini kwa upande mwinginefurahi maana inaonekana huyo jamaa kapenda kweliMpitanjia, naona huyu mtu kwa hali hii aliyojiwekea inawezekana ata akikaa offisini ananiwazia mabaya tu mda wote, sasa hii hali itakuja kumuathiri bila sababu ya msingi
Hiyo pochi haina ata vipodozi labda hand lotion tu ambayo ata chumbani ipobasi kamnunulie na yeye hand bag umpe kama zawadi, huenda ikawa anakutamani sana na hand bag yako, kuna watu wameubwa kutamani vitu visivyotamanika, labda na yeye ni mmoja wao.
Nikichukua simu yake hana neno, japo nachukua kwa nadra sana labda kama ninataka kuitumia tu na kwa kumuomba, sasa huu wivu unampelekea kubaya maana anaathirika bila sababu wakati hakupaswa kufanya hivo, ata sijui nifanye nini ili aniamini jamani hii hali si nzuri kabisa
Ama kweli!!!!basi kamnunulie na yeye hand bag umpe kama zawadi, huenda ikawa anakutamani sana na hand bag yako, kuna watu wameubwa kutamani vitu visivyotamanika, labda na yeye ni mmoja wao.
Mi nakushauri ukae nae chini muongee kwa upole kabisa bila ishara yoyote ya kukasirika lazima atakupa sababu ya yeye kufanya hivyo na kupekua pochi yako na simu,naamini hakuwa na tabia hiyo mwanzoni au mlipokuwa wachumba.....lazima kutakuwa visababu vya yeye kufanya hivyo anashindwa tu kuuliza ss anatafuta ushahidi,kaa muongee yaishe hataishia hapo huyo......i can say lazima utakuwa ulimpa doubt somewher bila hata ya ww kujua.
Bra-joe, tafsiri ya Mke kumnunulia Mume hand-bag au kitu chochote cha kike ni mbaya sana na inaweza kumletea kupewa talaka. Badala ya kupata nafuu ya ndoa, anaweza kujikuta akivunja ndoa yake kabisa! Nashauri asifanye hivyo kamwe!