Handaki la Makambako

Mndundu

JF-Expert Member
Mar 3, 2008
233
34
Hili ni handaki ambalo juu yake inapita reli ya TAZARA na chini wananchi wapita kwa miguu.

Lipo Makambako Iringa, ikiwa mchina aliweza kutengeneza kitu kama hiki miaka hiyo na hadi leo kipo imara, mainjinia wetu wa barabara kwanini wasitujengee kitu kama hiki kwenye makutano ya barabara mbili kupunguza msongamano wa foleni?

6013d1253861722-handaki-la-makambako-handaki.jpg


6024d1253949334-handaki-la-makambako-maka-station.jpg

6025d1253949334-handaki-la-makambako-train1.jpg


6026d1253949334-handaki-la-makambako-train2.jpg

6027d1253949334-handaki-la-makambako-train3.jpg
 

Attachments

  • handaki.JPG
    handaki.JPG
    36.4 KB · Views: 456
duh e bana ee!hapa ndo nilipokulia mtu mzima,nakumbuka tulikuwa tuna pita hapa kuvuka reli,upande wa pili kuna mzee tulikuwa tunaenda kuiba maembe!hii ni mwanzoni mwa miaka ya 1990
 
Tatizo la mainjinia wetu wana waza sana % cha juu kuliko uhalisia wa kazi naona kuna haja nchi iwe ina ajili mainjinia toka nchi nyingine tu.
 
duh e bana ee!hapa ndo nilipokulia mtu mzima,nakumbuka tulikuwa tuna pita hapa kuvuka reli,upande wa pili kuna mzee tulikuwa tunaenda kuiba maembe!hii ni mwanzoni mwa miaka ya 1990

mzee ulikuwa unaiba maembe kwa bibi lusungu nini? sisi tulikuwa tunaenda kula mapera
 
Tatizo la mainjinia wetu wana waza sana % cha juu kuliko uhalisia wa kazi naona kuna haja nchi iwe ina ajili mainjinia toka nchi nyingine tu.
home boi sasa utnataka sisi tukafanye kazi botswana?
au na mii nikabebe boksi na taaluma yangu?
 
Tatizo la mainjinia wetu wana waza sana % cha juu kuliko uhalisia wa kazi naona kuna haja nchi iwe ina ajili mainjinia toka nchi nyingine tu.

To be more specific we better say engineers from China. Hapa ubungo wangekua wameshapitisha barabara juu/chini na madaraja ya kuvuka watu kwa miguu. Jamaa wako fit sana hua tunawaponda for nothing!
 
exactly!hivi wewe ni home-boi kumbe?
mimi wazaz wanaish mjimwema

hahahha mzee mji mwema umenikumbusha mbali sana, mimi kule nilikaa utotoni nilisoma shule ya uhuru we kama home mjimwema utakuwa ulisoma azimio au makambako
 
Tatizo la mainjinia wetu wana waza sana % cha juu kuliko uhalisia wa kazi naona kuna haja nchi iwe ina ajili mainjinia toka nchi nyingine tu.

kamanda kama ndio hivyo si tutafute watu wengine washughulikie malipo harafu hao mainjinia tuwaachie ujenzi tu {labda useme sasa wataiba vifaa :) }
 
hahahha mzee mji mwema umenikumbusha mbali sana, mimi kule nilikaa utotoni nilisoma shule ya uhuru we kama home mjimwema utakuwa ulisoma azimio au makambako

mim makambako bwana!umemaliza mwaka gani pale mzee?
 
Tatizo la mainjinia wetu wana waza sana % cha juu kuliko uhalisia wa kazi naona kuna haja nchi iwe ina ajili mainjinia toka nchi nyingine tu.

Are you sure with your statement????? Mbona watanzania mnakuwa so negative na kila kitu, kila proffession na ktk kila argument??????? Hivi unawedza tu kuamka asubuhi na kuanza kudesign daraja bila mteja, bila feasibility study, na bila resources?

I am one of those you call mainjinia wetu and I salute my fellow engineers back home (Tz) WITH ALL THAT THEY ARE DOING WITH SUCH LIMITED RESOURCES).

Pls note hao unaodhani ni mainjinia bora toka nchi nyingine ndio hao hao waliotutafuta kutokea hapo Tz na kuja kuteam up nao huku ughaibuni.
 
Engineers wetu wengi hawathaminiwi na ni kama unataka mambo yako yawe mazuri basi ujiingize kwenye mtindo wa watawala wa kuwa yes bwana ili uonekane
 
Are you sure with your statement????? Mbona watanzania mnakuwa so negative na kila kitu, kila proffession na ktk kila argument??????? Hivi unawedza tu kuamka asubuhi na kuanza kudesign daraja bila mteja, bila feasibility study, na bila resources?

I am one of those you call mainjinia wetu and I salute my fellow engineers back home (Tz) WITH ALL THAT THEY ARE DOING WITH SUCH LIMITED RESOURCES).

Pls note hao unaodhani ni mainjinia bora toka nchi nyingine ndio hao hao waliotutafuta kutokea hapo Tz na kuja kuteam up nao huku ughaibuni.

hivo hivo professional-mate
 
mim makambako bwana!umemaliza mwaka gani pale mzee?

Mi sikumaliza pale ila nilisoma kidogo darasa la nne na la tano mwaka 89 na 90, lakini utotoni kabla ya kudarasa la kwanza nilikaa sana pale
 
Hili ni handaki ambalo juu yake inapita reli ya TAZARA na chini wananchi wapita kwa miguu.

Lipo Makambako Iringa, ikiwa mchina aliweza kutengeneza kitu kama hiki miaka hiyo na hadi leo kipo imara, mainjinia wetu wa barabara kwanini wasitujengee kitu kama hiki kwenye makutano ya barabara mbili kupunguza msongamano wa foleni?
...We mndundu hapa watu wanapitaje? wana-craw nini?? kinaonekana kidogo au mijicho yangu yanipoteza!!?
 
Mi sikumaliza pale ila nilisoma kidogo darasa la nne na la tano mwaka 89 na 90, lakini utotoni kabla ya kudarasa la kwanza nilikaa sana pale
poa,
ni pm basi unipe namba yako tuwaachie watu waendelee na mjadala
 
Are you sure with your statement????? Mbona watanzania mnakuwa so negative na kila kitu, kila proffession na ktk kila argument??????? Hivi unawedza tu kuamka asubuhi na kuanza kudesign daraja bila mteja, bila feasibility study, na bila resources?

I am one of those you call mainjinia wetu and I salute my fellow engineers back home (Tz) WITH ALL THAT THEY ARE DOING WITH SUCH LIMITED RESOURCES).

Pls note hao unaodhani ni mainjinia bora toka nchi nyingine ndio hao hao waliotutafuta kutokea hapo Tz na kuja kuteam up nao huku ughaibuni.

Mimi swali langu ni hapo kwenye nyekundu tu mzee, unamaana gani kwamba hamna mteja? wateja wapo hao mainjinia ndio wanatakiwa wawaonyeshe wateja altenatives ndio maana naamini (japokuwa sina uhakika) hao wachina ndio walikuja na wazo la hilo handaki na sio wananchi wa makambako wa miaka ya 60.
 
...We mndundu hapa watu wanapitaje? wana-craw nini?? kinaonekana kidogo au mijicho yangu yanipoteza!!?

Mwana hapo unapinda mgogo hadi unatokeza upande wa pili, tena enzi hizo watu walikuwa wanakatiza hapo na ndoo ya maji au kiloba cha mahindi.
 
wakati tunakua njia rahisi ya kufika makambako kutoka dar ilikuwa kutumia treni la tazara. Sasa hawa wahandisi wa ujenzi kama video za ulaya ngumu kueleza wangepelekwa kwenye hizi structure za wachina za mwaka 47 ili watutatulie tatizo la msongamano kwenye makutano ya barabara.

6024d1253949334-handaki-la-makambako-maka-station.jpg

6025d1253949334-handaki-la-makambako-train1.jpg


6026d1253949334-handaki-la-makambako-train2.jpg

6027d1253949334-handaki-la-makambako-train3.jpg
 

Attachments

  • maka-station.jpg
    maka-station.jpg
    29.7 KB · Views: 336
  • train1.JPG
    train1.JPG
    40.9 KB · Views: 339
  • train2.JPG
    train2.JPG
    34.6 KB · Views: 335
  • train3.JPG
    train3.JPG
    47.7 KB · Views: 336
Kanisa la kilutheri la Makambako maarufu kama JOGOO kutokana na sanamu ya jogoo iliyopo juu ya kanisa.....

6028d1253949576-handaki-la-makambako-jogoo1.jpg


6029d1253949576-handaki-la-makambako-jogoo2.jpg
 

Attachments

  • jogoo1.jpg
    jogoo1.jpg
    19.5 KB · Views: 136
  • jogoo2.jpg
    jogoo2.jpg
    15.4 KB · Views: 131
Back
Top Bottom