Hana hisia zozote!

Pejokiss

JF-Expert Member
Aug 21, 2011
219
97
Habari zenu wanajamii forum,mwenze niliachana na mpenz wangu kipindi fulan kutokana na vijimambo fulan ila nika jipa moyo ntapata mwingine,na kweli cku zkapita nikapata mwingine ili huyu mpya ni kuwa hana hisia zozote kuhus mapenzi na wala hataki kusikia kuhusu suala la kufanya nae mapenzi kwan nilipomtokea alinipa sharti la kutofanya mapenzi nami nikakubali nikijua atabadilisha mawazo lkin huo ndo umekua msimamo wake na hamna dalili yoyote ya kuonesha kubadilika hvyo nashindw nifanye nn.wkati mwingine nafikir kumwacha ila bado nampeda ila tatizo ndo hilo!nisaidien wajamen!
 
mbona huyo kazi rahisi!! mwite geto hlf mfanye kama YUSUF MAKAMBA alivyomfanya mwanafunzi wake enzi zile.
 
hahahaha lakini wee ndio una matatizo.....yeye alishakwambia kuwa hutapata k sasa washangaa nini yeye kutokupa k......
 
Kama ulikubali maamuzi yake,yaheshimu....huwezi tafuta mwingine...mlizoea zile za msichana akisema No anamaanisha YES...siku hizi NO means NO and YES means YES....!!
 
pole mzee, ila kama unamalengo naye ya kuoana vumilia tu bro.ila jitahidi ujiridhishe kama anakupenda kweli, na hakamuliwi, ila kama ni kupita tu we sepa, hapafai hapo.
 
Habari zenu wanajamii forum,mwenze niliachana na mpenz wangu kipindi fulan kutokana na vijimambo fulan ila nika jipa moyo ntapata mwingine,na kweli cku zkapita nikapata mwingine ili huyu mpya ni kuwa hana hisia zozote kuhus mapenzi na wala hataki kusikia kuhusu suala la kufanya nae mapenzi kwan nilipomtokea alinipa sharti la kutofanya mapenzi nami nikakubali nikijua atabadilisha mawazo lkin huo ndo umekua msimamo wake na hamna dalili yoyote ya kuonesha kubadilika hvyo nashindw nifanye nn.wkati mwingine nafikir kumwacha ila bado nampeda ila tatizo ndo hilo!nisaidien wajamen!

mkuu huyo nipigie pande mim nahisi atanifaa sana maana nimetafuta na ninawatafuta sana wanawake wa sample kama hiyo.

Nipe contact zake mkuu
 
Km kakwambia yy bado bikira bac uclumbane nae kwan ukalikubali mashart!ila km akikwambia ilishatolewa alafu ni mpnz wako na unampenda na una uhakika hakuna anepiga huko pemben bac vuta subiri mda ukifika peleka posa ila hakikisha kabla ya ndoa mfanye reheso kwanza!ila km utagundua anamegwa tafuta ustarabu mwingine haka km unampenda!
 
eti nakupenda ila ngono sitaki uhungo mkubwa hakupendi..nimeshuudia mwenye mambo hayo..anayekupenda ukimng'ang'ania anakupa.akikataa jua akupendi hanauakika na wewe.
 
mbona huyo kazi rahisi!! mwite geto hlf mfanye kama YUSUF MAKAMBA alivyomfanya mwanafunzi wake enzi zile.
Hahaaaaaa!!! mkuu lakini kumbuka zama zimebadilika, zama za kina Yusufu kulikuwa hakuna miaka 30 na wala TAMWA hawakuwepo!!
 
Ma tomboy ndo walivyo ila huyo ni asset coz ukianza kupewa mzigo atakuwa muaminifu saaaaaaaaaaaana aiseeeeeeeeeeee:lol:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom