Habari zenu wanajamii forum,mwenze niliachana na mpenz wangu kipindi fulan kutokana na vijimambo fulan ila nika jipa moyo ntapata mwingine,na kweli cku zkapita nikapata mwingine ili huyu mpya ni kuwa hana hisia zozote kuhus mapenzi na wala hataki kusikia kuhusu suala la kufanya nae mapenzi kwan nilipomtokea alinipa sharti la kutofanya mapenzi nami nikakubali nikijua atabadilisha mawazo lkin huo ndo umekua msimamo wake na hamna dalili yoyote ya kuonesha kubadilika hvyo nashindw nifanye nn.wkati mwingine nafikir kumwacha ila bado nampeda ila tatizo ndo hilo!nisaidien wajamen!