Mkuu waislam wameonewa tokea mkoloni mreno mjerumani na muengereza.Unachoambiwa una udini ni kuona kwamba Waislam wanaonewa japo walipigania uhuru wa Tanganyika pengine kuliko dini zingine. Hutaki kuona sababu za ndani zinazorudisha nyuma harakati za Waislam kupiga hatua ambazo zinatokana na wao wenyewe!
Ndio maana ktk harakati za kupigania uhuru wa tanganyika waislam walijitokeza kwa wingi sana na hawakusita kufanya siasa miskitini na kushirikisha mamufti na mashekhe ktk mbio hizo.
Utengano wetu ni wa kihistoria na kimfumo.
Labda tulifanikiwa kumuondowa mkoloni lakini mfumo bado unatutesa.
Lakini chakufurahisha ni hii changamoto muayo tupa ya kutukebehi hii itatufanya tujiweke sawa na kuondowa mfumo kama tulivyo muondowa muasisi wa mfumo mkoloni.