Polew sana.... Sasa kipozeo chako kwa kawaida ni nini?Nimefura,,,,,,,gggrrrrrrrr
Zinduna naye kafanya kweli, mpaka sare yako nimeletewa ofisini ya ngoma ya kilugwai. lol! sasa unamkabidhu nani wakezo, mi nataka jibu kwanza, nani unamuona ana afadhaliafadhali?? ila Bishanga wewe nikujuavyo, huchelewi kumrithisha mtu na tego ukaliset ukatuletea mambo ya kenya hapa, ukihama uhame jumla na matego yako beba!Asprin hafai kabisa,ndo kamshawishi zinduna animalize ujue.
Basi angalia hukomPemba usije kupata mengine zaidi ya hayaMahbuba The Secretary,ua la moyo wangu.
unaguna nini na wewe?? kadogoo hana babamdogo ni matatizo haya!Mmmmmhhhhhh?
Una uhakika? Mbona namwona meza ya kona hapa karambezi sea cliff?
Niko hapa na mwanakijiji ananipa twisheni.
hata aliko hataelewaUlishindwa elewa somo la kiunio utaweza siasa?
Kuna perfume nimekuletea toka UK,kesho ipitie basi nyumbani.
Zinduna naye kafanya kweli, mpaka sare yako nimeletewa ofisini ya ngoma ya kilugwai. lol! sasa unamkabidhu nani wakezo, mi nataka jibu kwanza, nani unamuona ana afadhaliafadhali?? ila Bishanga wewe nikujuavyo, huchelewi kumrithisha mtu na tego ukaliset ukatuletea mambo ya kenya hapa, ukihama uhame jumla na matego yako beba!