Salamu jf. Imekuwa kawaida kwa wasanii wa fani ya muziki kuwa promoted na kwa njia hiyo fani hiyo inazidi kupanuka sana! Mimi napenda kuuliza,hivi hamna promoters kwa upande wa fani ya UANDISHI? Nina maana ya fasihi andishi.....
Mimi nina vitabu kadhaa nimeviandaa lakini siwezi kumudu gharama za uchapaji,naamini vikichapwa vitaingia sokoni kwa nguvu.
Hebu nisaidieni kama wapo nawahitaji,tuwasiliane hapa hadharani au kwa PM.
Mimi nina vitabu kadhaa nimeviandaa lakini siwezi kumudu gharama za uchapaji,naamini vikichapwa vitaingia sokoni kwa nguvu.
Hebu nisaidieni kama wapo nawahitaji,tuwasiliane hapa hadharani au kwa PM.