Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Haya ni maneno ya mbunge wa Nzega Hamisi Kigwangalah aliyosema katika ukurasa wake wa facebook.
"Kuna mtu mmoja anahangaika jimboni
Nzega sasa hivi eti anazuia watu
wasilime pamba kwa kuwa Mbunge
amehamasisha kilimo hicho na watu
sasa wameitikia vizuri, na yeye
anaogopa wanavyozidi kuongezeka kwa kasi atashindwa kuniangusha
kirahisi 2015! Siasa za kipumbavu
namna hii hazitomsaidia, atamaliza hela
zake bure. Badala ya kuwasaidia
wazazi wake na ndugu zake anapita
akigawa pesa hovyo. Badala hata ya kujenga nyumba anapita akigawa pesa
na ahadi! Badala aanze kurekebisha
utata uliogubika uraia wake
anahangaika kuanza kampeni mapema
hii akipika pilau na nyama!"
"Kuna mtu mmoja anahangaika jimboni
Nzega sasa hivi eti anazuia watu
wasilime pamba kwa kuwa Mbunge
amehamasisha kilimo hicho na watu
sasa wameitikia vizuri, na yeye
anaogopa wanavyozidi kuongezeka kwa kasi atashindwa kuniangusha
kirahisi 2015! Siasa za kipumbavu
namna hii hazitomsaidia, atamaliza hela
zake bure. Badala ya kuwasaidia
wazazi wake na ndugu zake anapita
akigawa pesa hovyo. Badala hata ya kujenga nyumba anapita akigawa pesa
na ahadi! Badala aanze kurekebisha
utata uliogubika uraia wake
anahangaika kuanza kampeni mapema
hii akipika pilau na nyama!"