Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 255
Ndugu zangu wanajamvi, kwanza kabisa naomba mnifahamishe CV ya huyu bwana maana nina wasiwasi na jinsi anavyofanya kazi zake. Pili nadhani ni vyema tukapa uchunguzi huru wa jinsi alivyotoka RFA na StarTV hadi Mlimani TV. Amekuwa akikidhalilisha chombo hiki cha wasomi hasa linapokuja suala la mahojiano na Vigogo wa CCM huku akijifanya yeye ndo anajibu hoja ama kuuliza maswali na kukemea au kukata simu kwa wale wenye mtazamo tofauti na vigogo hao.
Nina mifano miwili ya kwanini kiraza huyu afukuzwe kwenye TV ya wasomi,
Hivi karibuni alikuwa na akihojiana na Vijana wa vyama vya siasa CUF (alijitambulisha kama mwanasheria aliyehitimu UDSM), CHADEMA (mwanafunzi UDSM) na CCM (katibu toka harusha) na akaonesha weakness kubwa kwa kutoa muda mchache kwa kijana kutoka CHADEMA na kujaribu kumwingilia kila alipojitahidi kujenga hoja.
Week iliyopita alikuwa na Nape Nnauye kwenye kipindi ambacho sikutaka ata kujua jina lake. Mbali na kumsifia sana Damumbaya (nikosolewe kama nimekosea jina lake) alionekana wazi akiwa mwoga, mwenye mihemuko ya utii wa kipuuzi na kibaya zaidi alikuwa akijibu hoja za wapiga simu na kujidhalilisha. alikatia watu simu yaani nina hasira sana.......
Tumjadili.
Nina mifano miwili ya kwanini kiraza huyu afukuzwe kwenye TV ya wasomi,
Hivi karibuni alikuwa na akihojiana na Vijana wa vyama vya siasa CUF (alijitambulisha kama mwanasheria aliyehitimu UDSM), CHADEMA (mwanafunzi UDSM) na CCM (katibu toka harusha) na akaonesha weakness kubwa kwa kutoa muda mchache kwa kijana kutoka CHADEMA na kujaribu kumwingilia kila alipojitahidi kujenga hoja.
Week iliyopita alikuwa na Nape Nnauye kwenye kipindi ambacho sikutaka ata kujua jina lake. Mbali na kumsifia sana Damumbaya (nikosolewe kama nimekosea jina lake) alionekana wazi akiwa mwoga, mwenye mihemuko ya utii wa kipuuzi na kibaya zaidi alikuwa akijibu hoja za wapiga simu na kujidhalilisha. alikatia watu simu yaani nina hasira sana.......
Tumjadili.