Hamis Kiiza 'Diego' aipasha Simba SC!

Kwahiyo mchezaji akiwa mzuri ruksa kutokuwa na nidhamu?
Sina maana hiyo.. Ila Mkuu ya Okwi tuachane nayo.. Mana huyu Okwi hakua mchezaji wa kawaida hata kidogo.. Ndo mana kakosa kake kamoja ka uchelewaji kalishindwa kuyafunika mazuri [furaha] lukuki aliyokua akitupatia week in week out.

Sasa huyu Kiiza... Mara leo kachelewa, Mara kesho anataka kusababisha wachezaji wenzake wagome, Mara keshokutwa anagombana na Kocha wake Mkuu [raia mwenzake toka Uganda].. n.k

Nadhani hata hapo mitaa ya Jangwani, hizo ndo sababu kuu zilizowafanya mumtupie virago.
 
Sina maana hiyo.. Ila Mkuu ya Okwi tuachane nayo.. Mana huyu Okwi hakua mchezaji wa kawaida hata kidogo.. Ndo mana kakosa kake kamoja ka uchelewaji kalishindwa kuyafunika mazuri [furaha] lukuki aliyokua akitupatia week in week out.

Sasa huyu Kiiza... Mara leo kachelewa, Mara kesho anataka kusababisha wachezaji wenzake wagome, Mara keshokutwa anagombana na Kocha wake Mkuu [raia mwenzake toka Uganda].. n.k

Nadhani hata hapo mitaa ya Jangwani, hizo ndo sababu kuu zilizowafanya mumtupie virago.

Very true jamaa alikuwa anajitahidi ila shida ya waganda ni majivuno
 
Amekuwa mwanasiasa...yeye ni mchezaji, mambo ya kiufundi na uchambuzi awaachie wenye fani zao.
 
Anaye lalamikiwa kila mara yupo na anajulikana, najua habari hii imekwisha mfikia, sasa ingekuwa vema akatumia busara kuwapisha wanachama wengine wa Simba wenye uwezo kama yeye au hata kumpita yeye kuiandaa timu kwa ajili ya msimu ujao!
Coward..mtaje kaburu
 
Huyu Kiiza nae atulize kipago.. Asidhani kama tumesahau haya

1. Ile tabia yake ya kuchochea vitendo vya utovu wa nidhamu ndani ya timu. Mfano kitendo chake cha kupinga kufungiwa kwa nahodha wake, Hassan Isihaka.. Sasa Leo wote OUT.

2. Tabia yake ya kuchelewa kujiunga na kambi ya Simba akitokea Uganda alipokuwa akitumikia timu yake ya taifa.. Na hii nadhani ni kujiona amekua Mkubwa zaidi ya timu.

Kiiza kila la heri uendako.. Simba tutaendelea kua imara zaidi.

Simba S.C [Nguvu Moja]
We ni taahira kama matahira wenzako...mtu unayeipenda simba lazima uwe mkweli kwa kusema ukwli....unaposhabikia kimahaba mpaka uozo ujue ni we taahira
 
Okwi kawahi kufunga magoli 19?
Okwi hakuwahi kufunga Magoli 19.. Ila kwa kukusaidia;

Katika historia ya soka Tanzania katika miaka ya hivi karibuni hajawahi kutokea kiungo aliyeheshimika sana kama Patrick Mutesa Mafisango.. Na hii heshima si kutokana na ufungaji wake.. Bali ni kutokana na kazi nzito aliyokua akiifanya uwanjani.
 
Anamshinda Kamusoko....mara zote wakati wake simba ilitolewa caf mapema.ila rasta kacheza makundi caf
 
Back
Top Bottom