Babamu
Member
- Dec 15, 2011
- 10
- 1
Amani juu yenu.Jamani mimi nahitaji kueleweshwa zaidi kwani haya mambo ya siasa sina ujuzi nayo. Huyu Hamadi Rashid wa aliekuwa Mbunge wa Kavu baada ya kuvuliwa GAMBA na CUF wenzake, nimeonasehemu ya kuwa anataka kuunda chama cha kwake sasa huu sio UROHO ama UCHU wa madaraka? Nielewesheni wajuzi wa mambo ya siasa ya hapa kwetu TZ.