Naombeni wanajf tumshauri mwanasiasa huyo ahamie Chadema ili kuongeza nguvu upande wa visiwani. Ni potential politician ambaye atatufaa. Ni maoni yangu, naomba mwenye nia nzuri aweke mchango wake hapa. Naomba kuwasilisha.
mwasisi wa chama chenu Mzee Mtei hataki waislam, wee huoni Zito anavyopata tabu pale licha ya uwezo wake mkubwa?
maneno yako yana sifa ya mtu aliyekosa hoja.
Ana uroho madaraka uliona avyochabikia kubadilisha kanuni za bunge kuhusu tafsiri ya kambi rasmi ya upizani.
Ana uroho madaraka uliona avyochabikia kubadilisha kanuni za bunge kuhusu tafsiri ya kambi rasmi ya upizani.
JIna lake umelionamaneno yako yana sifa ya mtu aliyekosa hoja.mwasisi wa chama chenu Mzee Mtei hataki waislam, wee huoni Zito anavyopata tabu pale licha ya uwezo wake mkubwa?
Hapa kuna vitu kama vitatu vya kuviangalia,Naombeni wanajf tumshauri mwanasiasa huyo ahamie Chadema ili kuongeza nguvu upande wa visiwani. Ni potential politician ambaye atatufaa. Ni maoni yangu, naomba mwenye nia nzuri aweke mchango wake hapa. Naomba kuwasilisha.
Naombeni wanajf tumshauri mwanasiasa huyo ahamie Chadema ili kuongeza nguvu upande wa visiwani. Ni potential politician ambaye atatufaa. Ni maoni yangu, naomba mwenye nia nzuri aweke mchango wake hapa. Naomba kuwasilisha.
kama umekosa kujibu kwa hoja basi huna hoja!
Ana uroho madaraka uliona avyochabikia kubadilisha kanuni za bunge kuhusu tafsiri ya kambi rasmi ya upizani.
mwasisi wa chama chenu Mzee Mtei hataki waislam, wee huoni Zito anavyopata tabu pale licha ya uwezo wake mkubwa?