Hamadi Rashid afunguka; adai Mtatiro, hajarejesha 'chenji' ya helikopta!

Ulidhani Lipumba ni mwanasiasa, Lipumba ni mmoja wa wanasiasa watakaohukumiwa na historia kwa kuchelewesha na kudumaza demokrasia nchini kwa kuwapumbaza wananchi kuwa anapigania haki kwa kugawa kura za wapinzani kwa miongo mitatu.

Lipumba ni mrithi wa Kigoma Malima. Hayo mambo ya udini kwenye siasa?
Look at him: wakati wapinzani wote wakisusa, yeye anakwua mstari wa mbele kupongeza serikali
Ni kawaida kwa wanasiasa kama yeye kuangalia which side of their bread is bettered!
 
Mimi kinachonishangaza ndani ya CUf yani uchaguzi ukishamalizika Mwenyekiti wao huwa anasepa zake nje ya nchi hadi uchaguzi mwingine sasa ni nani atakayekijenga chama? Kabla ya maridhiano Maalim Seif ndo alikua akihangaika kujenga chama sasa keshapewa kahawa ya bure na Tende za ikulu amekaa kimya kamuachia mtatiro chama bila kujua kua Mtatiro ni mtu kuropoka and then anakuja kufikiria alichonena wakati kishaleta impact kwa jamii...

Moja kati ya vitu vinavyoifanya CCM kuwa madarakani leo ni policy yao ya divide and rule. Usalama wa Taifa imefanya kazi hiyo kwa kiasi kikubwa. I am told, usalama wa Taifa is one of the wings of CCM
 
wafa maji hawa , JULY ulipotea njia Nenda CDM, tunakungoja si unaona Rwakata... anakula shavu....Mhhhh?
 
Chama wapate soma kwenye haya yanayotokea kwa Ccm B leo, maana huwa migogoro ina tabia ya kuzunguka kama pia.
 
Hawa wapemba wawili ni wanafiki wenye tamaa ya uongozi na kujilimbikizia mali. Akili ya Hamad Rashid ilipolalia
sisi ndipo tulipoamkia, Machafuko yote hayo kwa upande wa Cuf lengo lake ni kumwezesha kupata support
kutoka Bara ili aweze kuwa Katibu Mkuu, na lengo haswa ni kuungana na Ccm upande wa Bara ili aweze kuwa
Waziri katika Serikali Ccm upande wa Bara. Yeye pamoja na wanafiki wenzake hilo ndio lengo lao kuu, mpanglio
ni kuvuruga utungwaji wa Katiba mpya ili Ccm ifanye ujanja wa kujiongezea muda wa urais.
Kwa kutawala wakishirikiana na Cuf. Kwa hiyo kwenye sakata la Cuf, Kikwete na Pinda ni wahusika. Kikwete ni
mtu mwenye hofu zaidi baada ya kutoka madarakani muda wake utakapokwisha ana wasiwasi wa kwenda
jela, Kwa madhambi yake mengi aliyokuwa nayo. CDM na Watanzania wote tuwe makini zaidi kwenye hizi njama
za maksudi zinazofanywa na Ccm + Cuf.
 
Roho ya ubaya wa kuichukia CDM inawasumbua sasa, mpaka wamrudie Mwenyezi Mungu na kutubu kuwa waliwakosea CDM. Inafurahisha kuona sasa mambo yananoga NCCR, CUF na mume wao CCM wakiweweseka na bado....
 
Hamad Rashid bwana unagombea pesa ambayo haikutoka kwenye akauti ya chama! mwenyewe Rostam hata hajapiga kelele wewe tayari umeshaanza kupiga kelele.tayari chama chenu ni cha kifisadi baada ya kuwa na ubia na CCM ambao ni mafisadi wakubwa,nanyi element ni hizo hizo,na iweje mgombee hele aliyotoa RA.
 
Natabiri CUF kushikana uchawi makubaliano ya mwafaka huko Zanzibar kwani yanatija ya muda mfupi tu. Wakiondoka waliopo na ukifika wakati wa kurudisha mvuto wa cha hapatatosha tusubiri.
 
Lipumba ni mrithi wa Kigoma Malima. Hayo mambo ya udini kwenye siasa?
Look at him: wakati wapinzani wote wakisusa, yeye anakwua mstari wa mbele kupongeza serikali
Ni kawaida kwa wanasiasa kama yeye kuangalia which side of their bread is bettered!
Mwanasiasa gani tena mwenyekiti kila baada ya uchaguzi anakwenda nje mwaka mzima, imagine, kwa nini asiwaachie wengine waendeshe chama kama si kudumaza na kupumbaza watu ni nini. Mimi huwa nasema...

Maadui wakubwa wa Tanzania ni wasomi na wabunge.
 
Skilizen watan wangu wa cuf,hv ni kwel kabisa hamjui ni kwa nin umaarufu wenu umeshuka na utaendelea kushuka zaid kama msipoamka mapema, sababu ni hii ila msiwaambie wenzenu'nyie ni ccm kasoro jinatu.byeeee.
 
Nina wasiwasi mahesabu ya hivi vyama mbuzi vya siasa kama huwa yanakuwa audited.
Vp una audit report ya ccm primaries mkuu?

Kama unaweza pia tusaidie reprts za ccm audits. We need to learn from you. Coz my memory tells me kwa vyama hivyo unavyoviita mbuzi ambvyo mm naona ni vyama vya siasa hufanyiwa audit
 
Mchawi ni ndowa waliyofunga na CCM. Wavunje ndowa, warudi wakajipange, wawe na vision. Hawa jamaa nahisi hawana vision. Nakumbuka walilia daftari la wapiga kura, as if ndiyo utatuzi wa matatizo yoote. Wakapewa daftari la wapiga kura. Wakaona matokeo ni tofauti, kumbe tatizo halikuwa daftari. Wakaanzisha issue ya muafaka. Wakapewa muafaka. Sasa wanaona mambo bado, muafaka siyo shida yao. Hawakujuwa kama baada ya muafaka chama kitapoteza mvuto? Mbona hata graduate wa shule ya kata analijuwa hilo. Am dubious kama CUF kweli ni chama cha siasa chenye watu wanaoona mbele na mbali, au wana interest zao back stage!!!!?
 
Vita vya kunguru furaha ya panzi naona CCM njia nyeupee maana hadi kufikia huko kutakuwa na mivurugano karibu vyama vyooteee c mmeona wameanza CUF wameuatia NCCR then TLP then soon CDM ndo muone raha ya vyama vya mifukoni kila mtu anataka kuneemeka
 
Jaman kujenga chama imara ni kazi kuliko kujenga mji wa dar yenye magorofa 100 katika kila eneo. Chama ni fikra za watu zinazo kubaliana au kutokukubaliana kwa jambo lilipo mbele yao.na kanuni ya kukubaliana huwa ni hii.ukiona watu wawili wanakubaliana ktk kila jambo basi ujue mmoja wapo ni mpumbavu.ukiona watu wawili hawakubaliani ktk kila jambo ujue mmoja wapo yuko sahihi.tuwaache CUF wapite katika njia za ujenzi wa chama che wanachama wenye fikra huru zenye kutoa maamuzi sahihi.huo ndiyo ukweli wa hali halisi ilivyo CUF ni chama chenye nia ya dhati kabisa ya kuunda dola.kina vigezo vya kumudu hadhi ya ki-muungano kina muundo wa kichama ngazi juu hadi chini ni chama pekee kilicho wahi kutoa mahesabu yake baada ya uchaguzi wa 2000 yenye ukaguzi wa ndani na nje ulio sahihi.nichama kilicho weza kugawa piki kila wilaya piki 1 CG.ni chama kinachotoa ruzuku ktk kila wilaya ngaza ya uongozi wake.ni kwaeli kina jijenga ktk kanuni za kuchukua dola.kwa hiyo ni lazima kipite ktk njia hii adhimu.na ombi langu ndugu wana JF tusifanye haya ni baadhi ya mambo ambayo yanatupa nafasi ya kila mtu kusema lake tutulie,tutafakari,alafu tuchambue pumba na mchele.wanachama wa CUF mimi naamini wanakubali kupishana kimtazamo kwa jambo ambalo lenye maslah.lakini mwisho wake wanaamua kulifuata jambo mmoja.MIMI NDUNGU ZANGU NIMEMKUBALI LOWASA.AHSANTE
 
Hakuna kitu kama hicho, ni propaganda tu ambazo hazina maana yoyote ile. Mikataba ya kukodi helikopta niliisaini mie on line nikiwa igunga, malipo yalifanywa na ofisi kuu moja kwa moja kwenda kwa kampuni husika. Kwa vyovyote vile fedha hazikupitia mikononi mwangu, lakini hata hivyo mikataba na malipo vyote viko sawa kabisa. kwa hiyo kama kwa ndugu yangu huyo hapo ndo anatafuta kashfa za kulazimisha amepotea njia.Jambo la pili, kama kuna fedha zozote zimeibiwa na mtu yeyote ndani ya chama, vikao vya chama ndiyo huwasilishiwa hoja hii na ushahidi wake kisha vinafanya maamuzi. Kama kuna ubadhirifu wowote wa fedha haisemwi kwa maneno tu, atuwekee hapa helikopta ilikodiwaje, fedha zilipitia kwa nani na nani alikula ngapi, asiseme kirahisi namna hiyo. All in all details za maswala yote haya chama ndo kitayatizama na kuamua. Hadi tunajibu hoja hizi zisizo na mweleko wala ushahidi wowote katika mitandao ni kwa sababu tu wachache miongoni mwetu wameacha misingi ya kuhoji masuala ya chama vikaoni, wamechanganyikiwa sasa wanahyahoji kwenye vyombo vya habari. Chama kitawarudisha kwenye mstari na kwa hakika chama kitatangulia kwanza na maslahi ya mtu mmoja mmoja yatafuata nyuma yake. Juzi zilitolewa hoja mara ooh.... mtatiro bado mdogo,.......mara ooh...amejiuzia magari, mara.....ooh amekula 500 milioni...... mara ooh amekula pesa za helikopta. Hizi zote ni njia za kunirudisha nyuma katika ninachokisimamia. Nitasimama kidete na umri huu huu unaoitwa mdogo, nitaongoza chama changu kwa sababu ndilo jukumu nililokabidhiwa na wanachama wenzangu hadi pale nitakapoacha mwenyewe au vinginevyo. Nataka kusisitiza akuwa kinachoingoza CUF ni katiba, na iwapo kiongozi yeyote anavunja katiba waziwazi na anataka kuvunja chama na kukiua, sitosita kusimama na kusema fulani unataka kuua chama, fulani umeasi. Sitaogopa propaganda zozote ambazo zitatengenezwa juu yangu kwani najua hazitapata ushahidi hata siku moja. Nina moral authority ya kuongea haya! Ninarudia tena, NINA MORAL AUTHORITY YA KUSEMA HAYA, NA SINA WASIWASI WOWOTE, NAJIAMINI, SIJAIBA HATA SENTI TANO KATIKA CHAMA CHANGU, NA HATA SIKU MOJA HAITATOKEA MTU AKAJA NA USHAHIDI HUO, HUYO ANAYETOA SHUTUMA HIZO AKAPUMZIKE ATULIE, KUZEEKA KWINGINE NI KUBAYA MNO. ASITAFUTE MTU WA KUFA NAYE.Mie nilijiunga CUF peke yangu na nimefika hapa nilipo bila kubebwa wala kumtumikia mtu, Na ninaahidi kwa uwezo mungu nitakwenda mbele au nyuma bila kutegemea msaada wa mtu wala kubebwa.Nasimamia maadili ya chama, utamaduni wa chama changu. Kila kitu kitajulikana mbele ya safari, tutajua pumba na mchele, tutajua nani anasema ukweli na nani anadanganya, tuupe muda nafasi.Julius Mtatiro
 
Juju go mukulu,wewe unafahamika tokea UDSM Kuwa kelele za chura hazikuzuii kunywa maji.
 
Lipumba ni mrithi wa Kigoma Malima. Hayo mambo ya udini kwenye siasa?
Look at him: wakati wapinzani wote wakisusa, yeye anakwua mstari wa mbele kupongeza serikali
Ni kawaida kwa wanasiasa kama yeye kuangalia which side of their bread is bettered!

Kumuhukumu Lipumba kuwa si mwanasiasa mwenye lengo la kuleta mabadiliko katika nchi yetu mtazamo huu si sahihi.Lipumba ni mwanasiasa mwenye heshima na karisma ya uongozi ulitukuka.ni ushahidi mwingi juu yake.lakini ngoja nikufungue bongo lako juu ya lipumba umuelewe.ndiye aliyekichukua chama na wenzake waliomuomba kuwa mgombea wa CUF mwaka 1995 lipumba alikuwa mshauri wa rais ktk masuala ya uchumi aliacha ajira yake kwa lengo la kukijenga chama tanzania bara,kila mmoja ni shahidi wa hili.uchaguzi wa 95 lipumba alishika nafasi ya 3 au ya 4 kama sijakosea.baada ya uchaguzi chama chini ya uwenyekiti wake kili jengwa toka ngazi ya chini hadi ya juu na kikawa ni chama tishio kwa chama tawala.uchaguzi wa 2000 CUF kikashika nafasi ya pili Lipumba akiwa ni mgombea wake.uchaguzi wa 2005 CUF ilishika nafasi ya pili Lipumba akiwa ni mgombea wake.ushindi wake mdogo aliokuwa anaupata uliongezeka kiasilimia awamu kwa awamu rekodi zinathibitisha hili.Aidha sababu zake ziko nyingi kwa kuzingatia mapambano yaliyojitokeza dhidi ya CUF na chama tawala chama chenye dola,uchumi imara,watendaji serikali walioteuliwa kuwa wakurugenzi wa uchaguzi ambao mgombea wake mmoja ni bos wa hao wakurugenzi na watiifu kwa rais huyo huyo ambaye ni mgombea wa urais.kushinda kwake kulikuwa kunahitaji mchakato wa muda mrefu wenye uzoefu,stadi na mbinu za kutimiza lengo la chama chao cha CUF Lengo la kushika DOLA.safari hii ya kushika dola kwa chama chenye siasa za wastani ni kazi kubwa inayotakiwa ipate wanachama wenye moyo wa subira na uelewa wa kutosha wa kujua mapambano ya kisiasa si lelema.LIPUMBA kaongea na watanzania mambo mengi makubwa yanayo taka kufanywa na serikali ambayo hayana maslahi na watanzania kama kuuzwa kwa NBC bure,mkataba wa IPTL ulivyo wa kifisadi na mikataba ya kuzalisha umeme mingine,kashfa ya rada, kashfa ya ununuzi wa ndege ya rais, kwa ukweli inasikitisha kuwepo na watanzania wa aina ile ambao walikuwa wanamuona hasemi kweli na wale waliokubali ushuda wake wakabaki kimya bila kuchukua hatua sahihi za kulinda kura zao ktk kituo ambacho alichopigia kura yake na kupata matokeo ambayo eti zinamfanya LIPUMBA aonekane ni mamluki wa kukubali matokeo ya urais ambayo kuyapata kwake kunaanzia kwenye kituo cha mpiga kura mwenyewe sasa lawama ni lazima zianzie kwa mpiga kura kwa kukubali matokeo ya mgombea wake aliyempigia kura na kuona zimechakachuliwa,KWA HALI HII KUTOA LAWAMA KWA LIPUMBA NI UCHOVU WA KUFIKIRIA NA KUONYESHA NIDHAMU MBAYA KWAKWE NA KANUNI YA HALI HII INAZALISHA UMBILE LA KUKATA TAMAA,kasaidia kutoa ushauri wa kila bajeti ya nchi hii namna ilivyo na namna gani iwe ili iweze kuwa bora ktk maisha ya watanzania kwa kusimamia rasilimali zetu vizuri,matumizi mabaya ya fedha za uendeshaji wa serikali.na kadha wa kadha. Viongozi wa CUF mueleweni HAMAD RASHID anachokifanya ni haki yake ya msingi,HOJA ZA MSINGI ZIKIJADILIWA KWA UWAZI NA UHURU WA KILA MWANACHAMA WA CUF BILA KUWEKA VITISHO VURUGU NA KANUNI ZENYE KULETA MTAZAMO WA KIDIKTETA MJUE MMEUA CHAMA CHENU MARA MOJA,NA VIONGOZI MLIOKUWEPO SASA JUENI UTENDAJI KAZI WENU NI LAZIMA UJE UHOJIWE NA WANACHAMA, NA HAKUNA KIONGOZI WA NGAZI YOYOTE MWENYE NAFASI YA KUDUMU, KAMA HAKUTOKA LEO KESHO LAZIMA ATOKE IMMA KWA KUPENDWA KWAKE AU KWA KUCHUKIWA NA WANACHAMA MUDA NDIYO KIPIMO CHA KILA KITU HAKUNA ATAKAYE WEZA KUSHINDANA NA WAKATI VIKAO VYA KUTATUA MIGONGANO YA KIMTAZAMO YA HIVI SASA NDIYO SURUHISHO LA KUKIOKOA CHAMA CHENU KISIPOTEE KISIASA TANZANIA BARA NA ZANZIBAR.Mimi jaman nimemkubali LOWASA kuwa Rais wetu 2015 kwa kuwa ana vigezo vya uwezo wa kusimamia na kuamua maamuzi magumu katika kutumia na kulinda rasilimali zetu ambazo zimeporwa na sera ya uwekazaji katika nchi yetu LOWASA ANA UDHAIFU WAKE NA UWEZO WAKE AMBAO UNATOSHA KUWA RAIS WETU.AHSANTE
 
Uongozi ndani ya CUF hasa nafasi ya katibu na mwenyekiti ni wa Muyaya as the late president Banda of Malawi.
 
Hakuna kitu kama hicho, ni propaganda tu ambazo hazina maana yoyote ile. Mikataba ya kukodi helikopta niliisaini mie on line nikiwa igunga, malipo yalifanywa na ofisi kuu moja kwa moja kwenda kwa kampuni husika. Kwa vyovyote vile fedha hazikupitia mikononi mwangu, lakini hata hivyo mikataba na malipo vyote viko sawa kabisa. kwa hiyo kama kwa ndugu yangu huyo hapo ndo anatafuta kashfa za kulazimisha amepotea njia.Jambo la pili, kama kuna fedha zozote zimeibiwa na mtu yeyote ndani ya chama, vikao vya chama ndiyo huwasilishiwa hoja hii na ushahidi wake kisha vinafanya maamuzi. Kama kuna ubadhirifu wowote wa fedha haisemwi kwa maneno tu, atuwekee hapa helikopta ilikodiwaje, fedha zilipitia kwa nani na nani alikula ngapi, asiseme kirahisi namna hiyo. All in all details za maswala yote haya chama ndo kitayatizama na kuamua. Hadi tunajibu hoja hizi zisizo na mweleko wala ushahidi wowote katika mitandao ni kwa sababu tu wachache miongoni mwetu wameacha misingi ya kuhoji masuala ya chama vikaoni, wamechanganyikiwa sasa wanahyahoji kwenye vyombo vya habari. Chama kitawarudisha kwenye mstari na kwa hakika chama kitatangulia kwanza na maslahi ya mtu mmoja mmoja yatafuata nyuma yake. Juzi zilitolewa hoja mara ooh.... mtatiro bado mdogo,.......mara ooh...amejiuzia magari, mara.....ooh amekula 500 milioni...... mara ooh amekula pesa za helikopta. Hizi zote ni njia za kunirudisha nyuma katika ninachokisimamia. Nitasimama kidete na umri huu huu unaoitwa mdogo, nitaongoza chama changu kwa sababu ndilo jukumu nililokabidhiwa na wanachama wenzangu hadi pale nitakapoacha mwenyewe au vinginevyo. Nataka kusisitiza akuwa kinachoingoza CUF ni katiba, na iwapo kiongozi yeyote anavunja katiba waziwazi na anataka kuvunja chama na kukiua, sitosita kusimama na kusema fulani unataka kuua chama, fulani umeasi. Sitaogopa propaganda zozote ambazo zitatengenezwa juu yangu kwani najua hazitapata ushahidi hata siku moja. Nina moral authority ya kuongea haya! Ninarudia tena, NINA MORAL AUTHORITY YA KUSEMA HAYA, NA SINA WASIWASI WOWOTE, NAJIAMINI, SIJAIBA HATA SENTI TANO KATIKA CHAMA CHANGU, NA HATA SIKU MOJA HAITATOKEA MTU AKAJA NA USHAHIDI HUO, HUYO ANAYETOA SHUTUMA HIZO AKAPUMZIKE ATULIE, KUZEEKA KWINGINE NI KUBAYA MNO. ASITAFUTE MTU WA KUFA NAYE.Mie nilijiunga CUF peke yangu na nimefika hapa nilipo bila kubebwa wala kumtumikia mtu, Na ninaahidi kwa uwezo mungu nitakwenda mbele au nyuma bila kutegemea msaada wa mtu wala kubebwa.Nasimamia maadili ya chama, utamaduni wa chama changu. Kila kitu kitajulikana mbele ya safari, tutajua pumba na mchele, tutajua nani anasema ukweli na nani anadanganya, tuupe muda nafasi.Julius Mtatiro
Pongezi kwa kutoa ufafanuzi mara zote kwenye vyombo vya habari umezungumzia habari za mwafaka wa zanzibar kama hiari ya wazanzibari,iweje leo naibu Katibu Mkuu bara umemruhusu Hamad Kufanya fujo bara ,je umemshindwa,je huwezi kuongoza ,Mtatiro komaa. kama wabaraa CUF hamkushirikishwa unamuachia Hamad Rashid kufanya fujo Bara badala ya Pemba utatushangaza kama nawe na elimu yako ya UCUF utagalagazwa kama alivyogeukwa Mzee Mapalala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom