Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
Shida walifikiri kutumia muda mwingi kuishambulia chadema ndio kufanya siasa wakasahau majukumu ya kujenga chama chao sasa dhambi yao imewarudia na wanaanza kuumbuana wenyewe kwa wenyewe.
Great Thinkers kweli wamo humu ndani!!! Mada inaachwa na kukimbilia hoja taka na kupakazana matope. kama Mtatiro hajarudisha chenji ya helikopta basi ni mwizi tu, kama vile magamba. Cha msingi ni kumuomba HR atoe ushahidi kama anao!
Nadhani stori hii kuhusu ufisadi wa helikopta yaja wiki ijayo full kabisa ktk gazeti moja la Jumatano! Just wait!!!! Patachimbika1
Umejuaje ndugu yangu kama hii stori kama itatoka kwenye gazeti wiki ijayo?Great Thinkers kweli wamo humu ndani!!! Mada inaachwa na kukimbilia hoja taka na kupakazana matope. kama Mtatiro hajarudisha chenji ya helikopta basi ni mwizi tu, kama vile magamba. Cha msingi ni kumuomba HR atoe ushahidi kama anao!
Nadhani stori hii kuhusu ufisadi wa helikopta yaja wiki ijayo full kabisa ktk gazeti moja la Jumatano! Just wait!!!! Patachimbika1
Ni swali la kipuuzi kwa mwana JF kuuuliza maswali ya kizembe kama haya.Umejuaje ndugu yangu kama hii stori kama itatoka kwenye gazeti wiki ijayo?
Hamadi Rashidi akiwa anafunguka kupitia kipindi cha Baragumu cha chanel 10 anamesema kuna maswala ya msingi ya kuhoji kwenye chama, sio kuhoji haki ya mtu kutangaza nia.
"Mambo ya msingi ni kuhoji kwa nini chama kinapoteza mvuto, mtatiro alikodi helkopta change hajarudisha, ukihoji haya unaonekana una matatizo"
mtatiro rudisha change ya helkopta.
Ameshawahi tia timu humu, aliweka kaushahidi kuwa helikopta alikodi kwa jina lake!!!!!!!
Wabunge wenyewe wa kukumbushwa wako wapi hawa hawa vilaza wa Pemba, HR kinachomsumbua ni uroho wa madaraka na misifa ya kukutana na kina Pinda nafikiri na elimu pia hata kama kasoma hajaelimika.Cuf imepoteza mvuto kwa sababu ya HR. alipokuwa KUB alishindwa kuongoza hasa chama chake kiongolee maswala ya msingi na kuuacha mwanya huo utumiwe peke yake na CDM.
wabunge wa CUF wakawa wanaongea pumba huku CDM wakiongea dhahabu jambo ambalo HR alikuwa anaweza kuwakumbusha wabunge wake nini hasa cha kuongelea bungeni.
Hapana Daudi juzi alikuwa humu kujibu tuhuma za vurugu zilizotokea kule mitaa ya kosovo na chechinia.That was last time hakurudi tena humu huenda atatokea kuleta majibu ya change anayodaiwa.
huyu mzee ni wa hovyo sana..nilikuwa namheshimu sana kumbe wa ajabu sana huyu mzee.
Ubinafsi unatuumiza sana mkuu... watu dnani ya hivi vyama, hasa wale walio katika mafasi za juu za uongozi si progressiveViongozi wetu wapo kama miungu watu hawatakiwi kupewa changamoto,akitokea mtu kuonesha nia ya kugombea uongozi cheo chake tu,ni mchochezi sasa nn maana ya democracy?na nn maana ya uchaguzi upite bila kupingwa?leo tunayaona cuf na itapotokea mtu kuonesha nia ya kugombea uenyekiti tutayaona cdm na hata nccr hata ccm wanataka kuka madarakani bila kupingwa sasa democracia tunayohihubiri maana yake nn,mbadilike watanzania wasasa sio wale wa wakati wa vidumu fikra za mwenyekiti
profesa wa sheria.BY PROFFESIONAL???? hata maji marefu ni proffesional kwenye uchawi
Safari ni Prof by Usomi
Kweli lakini kumbuka na pemba kua aina tatu ya wapemba'
I - Wapemba wenyewe
2- Wapemba unguja
3- Wapemba bara.
Sasa hapo ndo tatizo linapoanzia nina wa kuwasemea wapemba ,Je ni Mtatiro.?
Ulidhani Lipumba ni mwanasiasa, Lipumba ni mmoja wa wanasiasa watakaohukumiwa na historia kwa kuchelewesha na kudumaza demokrasia nchini kwa kuwapumbaza wananchi kuwa anapigania haki kwa kugawa kura za wapinzani kwa miongo mitatu.Mimi kinachonishangaza ndani ya CUf yani uchaguzi ukishamalizika Mwenyekiti wao huwa anasepa zake nje ya nchi hadi uchaguzi mwingine sasa ni nani atakayekijenga chama? Kabla ya maridhiano Maalim Seif ndo alikua akihangaika kujenga chama sasa keshapewa kahawa ya bure na Tende za ikulu amekaa kimya kamuachia mtatiro chama bila kujua kua Mtatiro ni mtu kuropoka and then anakuja kufikiria alichonena wakati kishaleta impact kwa jamii...