Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,706
- 155,196
Nasikia wimbo huu ni kijembe kwa mkuu wa kisiwa cha marashi ya karafuu, na serikali ya visiwa hivyo umepiga marufu redio za visiwani kuupiga wimbo huu.
Lakini kwa sababu kudhibiti teknolojia kwenye ulimwengu wa leo, redio za bara ambazo pia husikika visiwani zimekuwa zikiwaburudisha wananchi hao kwa wimbo huo mtamu.
Je kuna ukweli wowote kutokana na tetesi hizi?
Je ni kweli mkulu wa kisiwa ni mlevi wa kupindukia/
Lakini kwa sababu kudhibiti teknolojia kwenye ulimwengu wa leo, redio za bara ambazo pia husikika visiwani zimekuwa zikiwaburudisha wananchi hao kwa wimbo huo mtamu.
Je kuna ukweli wowote kutokana na tetesi hizi?
Je ni kweli mkulu wa kisiwa ni mlevi wa kupindukia/