Aliyekuwa mbunge wa Cuf aliyefukuzwa na Baraza kuu la uongozi Taifa kwa kukiuka maadili ya chama na kukimbilia mahakamani, ambaye alikuwa akitengeneza propaganda chafu dhidi ya CUF kwa kutengeneza kadi feki na kuzusha eti wanachama wa cuf wamejitoa chama hicho, tokea kurudi kwa mwenyekiti wa cuf ambaye ni mwenyekiti wa jopo la uchumi Duniani amekuwa hasikiki, taarifa kutoka kwa watu wa karibu ni kwamba anajipanga kwenda kuomba radhi kwa viongozi wa kitaifa, na endapo atakubaliwa ndio itakuwa mwisho wa chama alichokuwa ameanza kukiasisi cha ADC.