..baada ya hoja yao kutekwa nyara na CCM walipaswa kuachana na harakati za kubadili kanuni ya bunge kuhusu kambi ya upinzani.
..matokeo ya hoja yao ni kudhoofika kuliko kuimarika kwa kambi ya upinzani bungeni. hili walipaswa kulifahamu wakati wanaendesha harakati zao.
..kamati za bunge za kuisimamia na kuiwajibisha serikali sasa zinaongozwa na wabunge dhaifu, Mrema na Cheyo, wasiokuwa na historia nzuri kama viongozi wa upinzani.
..matokeo ya hoja yao ni kudhoofika kuliko kuimarika kwa kambi ya upinzani bungeni. hili walipaswa kulifahamu wakati wanaendesha harakati zao.
..kamati za bunge za kuisimamia na kuiwajibisha serikali sasa zinaongozwa na wabunge dhaifu, Mrema na Cheyo, wasiokuwa na historia nzuri kama viongozi wa upinzani.