Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,797
- 12,239
Jana Hamad Rashid alionekana channel ten akiwa katika hatua za mwisho kuunda chama kipya cha kisiasa akishirikiana na waliojivua uanachama wa CUF.
Je chama hicho kipya kitakuja na siasa na sera mpya tofauti na CUF ya sasa na kupata uungwaji mkono mkubwa bara na visiwani kama anavyojinadi?
Je chama hicho kipya kitakuja na siasa na sera mpya tofauti na CUF ya sasa na kupata uungwaji mkono mkubwa bara na visiwani kama anavyojinadi?