Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Hata hivyo, kwa kuwa ni maamuzi yangu ninaweza kubadili msimamo wangu huo na kugombea tena na kushinda. Nipo huru kuamua ninachoona inafaa!
Mkuu Zitto nashukuru kwa kuweka wazi swala hili.
Mi naomba na nina kusihi omba tena ridhaa ya kugombea tena Ubunge kwa kupitia jimbo lako hilo hilo nakuomba sana tafakari mara 2 mwakani nakuomba ugombee tena ili kuziba midomo domo ya wana CCM wengi wanasema umenunuliwa wengi wanasema umekwisha kisiasa ili kuwaonyesha bado umo nakuomba uchukue form mwakani kisha ugombee. P'se fikiria mara 2 kisha chukua uamuzi sahihi.