Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
Ivi akianzisha chama wakati amefungua kesi kupinga maamuzi ya baraza la cuf, itakuwa amebariki kufukuzwa au itakwa vipi?
Kwani ndio alivyosema leo huko habari maelezo Dar. maana tunasikia anashinda hapo kutwa kucha kutaka huruma za waandishi wa habari.
Kwa ninavyojua na ndivyo ilivyo Znz hakuna mgawanyika na hata CUF hakuna mgawanyiko kwani aliyetaka kuleta mgawanyika ameshafukuzwa na sasa anakesha na kushinda ukumbi wa habari maelezo. Hata jimboni kwake kwenda hataki.
Kwa ninavyomjua hamadi Rashid. hana uwezo wa kusimama katika kiriri na kuzungumza siasa kwani yeye ni mtendaji na si mwanasiasa. Je mmekwisha muona kwenye kiriri anahutubia? Fuatilieni hilo mtamuona.
Ni mtu wa kupenda ukubwa na uchu wa madaraka makubwa na ndio maana CUF wamemtimua.
nyie chadema sindio mlitaka awe mgombea mwenza wenu? Sasa hana chama mchukueni basi kesha temwa huyo! Kama kawaida yenu chadema huwa mnakula makombo ya vyama vingine! Mfano, lwakatare, akwilombe nk.
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele
Sahihisha, akwilombe kama ni makombo basi ni ya Chadema hivi sasa yanaliwa na CCM!nyie chadema sindio mlitaka awe mgombea mwenza wenu? Sasa hana chama mchukueni basi kesha temwa huyo! Kama kawaida yenu chadema huwa mnakula makombo ya vyama vingine! Mfano, lwakatare, akwilombe nk.
Kwani ndio alivyosema leo huko habari maelezo Dar. maana tunasikia anashinda hapo kutwa kucha kutaka huruma za waandishi wa habari.
Kwa ninavyojua na ndivyo ilivyo Znz hakuna mgawanyika na hata CUF hakuna mgawanyiko kwani aliyetaka kuleta mgawanyika ameshafukuzwa na sasa anakesha na kushinda ukumbi wa habari maelezo. Hata jimboni kwake kwenda hataki.
Kwa ninavyomjua hamadi Rashid. hana uwezo wa kusimama katika kiriri na kuzungumza siasa kwani yeye ni mtendaji na si mwanasiasa. Je mmekwisha muona kwenye kiriri anahutubia? Fuatilieni hilo mtamuona.
Ni mtu wa kupenda ukubwa na uchu wa madaraka makubwa na ndio maana CUF wamemtimua.
nyie chadema sindio mlitaka awe mgombea mwenza wenu? Sasa hana chama mchukueni basi kesha temwa huyo! Kama kawaida yenu chadema huwa mnakula makombo ya vyama vingine! Mfano, lwakatare, akwilombe nk.
Jf where we dare to talk openly, ni kauli mbiu yetu mkuu usiisaliti!Bado ni tetesi ila nimeipata kwa mmoja wa viongozi wa serikali ambaye siwezi mwandika jina lake humu
Wakuu nasikia Hamad Rashid na wenzake wameanzisha chama kiitwacho Alliance Democratic Party hii imekaaje kwa CUF kule Zanzibar, si watagawanyika na CCM itapeta milele