Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 20,684
- 20,440
Aliyekuwa mbunge wa Wawi ambaye jana amevuliwa uanachama wa CUF, Mh. Hamad Rashid Mohamed, ametangaza wazi kwamba anaanzisha chama kipya na amewataka wanachama wa CUF kurudisha kadi zao, na kwamba wawe tayari kujiunga na chama chake kipya kinachokuja muda si mrefu !
Source: Mlimani TV, Elimu Kwanza
Source: Mlimani TV, Elimu Kwanza