Mbio za sakafuni zinaishia ukingoni,
Ni dhahiri kwamba kwa mara nyingine tena Mh John Cheyo ambwaga vibaya Mh Hamad Rashid katika kuongoza kamati ya kudumu ya bunge.hamad kwa mawazo yake alijua fika na kwa urafiki walionao na ccm basi angepata nafasi hiyo.
Licha ya yeye Hamad kupigania kuweka neno rasmi akijua atakuwa anaendelea kuongoza kamati hizo au kiongozi wa upinzani bungeni.Na hata baada ya CDM kupata wabunge wengi zaidi akaingia katika jitihada nyingine za kujaribu kabadili tafsiri yake ya mwanzo ya neno kambi rasmi ili aambulie chochote.Kumbe kelele zote zile alikuwa anamtafutia Cheyo na mrema ulaji yeye na kafulila wamebaki kapa.poleni
Ni dhahiri kwamba kwa mara nyingine tena Mh John Cheyo ambwaga vibaya Mh Hamad Rashid katika kuongoza kamati ya kudumu ya bunge.hamad kwa mawazo yake alijua fika na kwa urafiki walionao na ccm basi angepata nafasi hiyo.
Licha ya yeye Hamad kupigania kuweka neno rasmi akijua atakuwa anaendelea kuongoza kamati hizo au kiongozi wa upinzani bungeni.Na hata baada ya CDM kupata wabunge wengi zaidi akaingia katika jitihada nyingine za kujaribu kabadili tafsiri yake ya mwanzo ya neno kambi rasmi ili aambulie chochote.Kumbe kelele zote zile alikuwa anamtafutia Cheyo na mrema ulaji yeye na kafulila wamebaki kapa.poleni