Seif al Islam
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 2,156
- 638
Nimeshindwa kuelewa kelele na mbwembwe za muasisi mahsusi wa adc mbunge wa wai kupitia mahakama mh.hamad rashid zimeishia wapi kwani kwa sasa simsikii tena akiitaja adc wala akijaribu kuwasaodoa wale walioondoka nae cuf kwa lengo la kuanzisha adc.ama kweli posho tamu kwani hamad rashid kashindwa kabisa kutekeleza lile aliloahidi.