kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 811
Kweli wao wan a dola sisi tuna Mungu tangulia hamad rashid tulikupenda sana lkn tango uliposaliti nguvu ya umma Siasa uchwara na kujivua gamba jipya lijulikanalo kama uanachama lilikupenda zaidi Kweli wao wana Dola Sisi tuna Mungu Nikilinganisha ya kafulila na haya ya hamad nazidi kuikubali hii kauli na Mungu analipa hap a hap a. tangulia Hamadi siku si nyingi wanakukafulila na ndio mwisho wake kisiasa. Kumbuka tulikupenda sana lkn tango uliposaliti nguvu ya umma Siasa uchwara na kujivua gamba jipya lijulikanalo kama uanachama lilikupenda zaidi tunajiandaa kuweka mchanga kwenye kabuki lako la kisiasa Msaliti wa Umma kamwe hatakaa afanikiwe
Kweli Mung ni mwema Tangulia Hamad uliisaliti Nguvu ya umma Bungeni
Kweli Mung ni mwema Tangulia Hamad uliisaliti Nguvu ya umma Bungeni