Mr.Professional
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,582
- 258
another sarakasi ndani ya cuf oh men hawawezi kutumia wazee wa chama kwa hekima na busara wakayamaliza kila siku wanakuja na jipya au ndo kujaribu kukirusisha chama kwenye ramani
Hamadi Rashid amekataa kuhojiwa na Kamati ya Maadili kwa kile alichodaiu kuwa haina mamlaka kisheria ...
Mfumo kristo haukupenda hii kitu ndio maana watu wao ndani ya serikali wameamua kuingia kazini kumzunguka Kikwete.
Nimemuona CH 10. Mie nafikiri hilo suala la maalim Seif kuandika barua kwa Lipumba kwamaba "kwa mawazo ya wengi, Hamadi afukuzwe" ndilo litakuja kumuumbua Maalim na genge lake. Ni kweli, maana ni kama alikuwa anamshauri profesa akubaliane na maamuzi ya genge lao kwani CUF haiko Pemba na Zenji tu, bali Bara pia. Jee Seif kafika kote huko, au alituma mablue guards kufanya tathmini?