Jiwe la Ukara
Member
- Jul 15, 2011
- 44
- 31
Gazeti moja la kila siku liliwahi kuandika kuwa moja ya sababu zilizopelekea kumwengua Mhe. Hamdi Rashidi kwenye nafasi yake ya kuwa Kiongozi wa wabunge wa CUF bungeni ni ukaribu wake na Mhe. Waziri Mkuu Mizengo Pinda. Gazti hilo lilikwenda mbali na kusema kuwa Mhe. Hamad Rashidi alifikia hatua ya kuwa anamdokeza Pinda maswali atakayo muuliza bungeni wkati wa kipindi cha hapo kwa hapo. Kauli ya Pinda ya jana inaelekea kuthibitisha kile kilichoandikwa na gazeti hilo.
Soma hapa:
Gazeti la Majira katika story yake Hamad Rashid amshtaki Nape bungeni lilimun kuu Mhe. Hamadi akimuuliza PM kuhusu kauli ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Nape Nnauye ya kumkejeli Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Bw. Maalim Seif Sharif Hamad na muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Gazeti la Majira linaandika kuwa Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara nkwa mara.
Nalo gazeti Tanzania Daima katika habri yake ya Nape, Mchemba washtakiwa kwa Pinda bungeni l ikaandika kuwa Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara kwa mara.
Soma hapa:
Gazeti la Majira katika story yake Hamad Rashid amshtaki Nape bungeni lilimun kuu Mhe. Hamadi akimuuliza PM kuhusu kauli ya Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bw. Nape Nnauye ya kumkejeli Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Bw. Maalim Seif Sharif Hamad na muundo wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa.
Gazeti la Majira linaandika kuwa Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara nkwa mara.
Nalo gazeti Tanzania Daima katika habri yake ya Nape, Mchemba washtakiwa kwa Pinda bungeni l ikaandika kuwa Akijibu swali hilo, Waziri Mkuu alieleza kushangazwa na mbunge huyo kutomweleza suala hilo, kwani ni rafiki yake sana na wamekuwa wakikutana mara kwa mara.