andry surlbaran
Senior Member
- Apr 13, 2011
- 166
- 20
huyu nae!
nafikiri ndo kimebadili mfumo wake wa fahamu, badala ya kutumia ubongo ndo sasa anatumia korodani kufikiri.
Huyu mzee,uzee unamchukua vibaya,anazeeka mpaka fahamu zinaanza potea taratibu kama maumivu ya kichwa yanavyoanza
Mzee wa kiraracha kachoka kweli lkini wamama wa jimbo la vunjo hawaelewi kitu juu ya huyu mzee, mikakati ya kumtoa kama ipo inapaswa kuanza sasaThe man is a joke!
Mzee wa kiraracha kachoka kweli lkini wamama wa jimbo la vunjo hawaelewi kitu juu ya huyu mzee, mikakati ya kumtoa kama ipo inapaswa kuanza sasa
Ndugu wanaJF wenzangu kwa wale ambao walikua wanapata shida yakujua muheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema ni mwenyekiti wa chama gani au ni mwanachama wa chama gani basi soma gazeti toleo la leo la Mwananchi alhamisi ukurasa wa mbele utakuta picha inayomuonyesha waziri wa fedha na uchumi ndugu Mustafa Mkulo akipongezwa na wabunge pamoja na mawaziri wote ni kutoka chama CCM baada ya kupitishwa bajeti ya serikali mwaka wa fedha 2011 - 2012 mjini Dodoma akiwapo muheshimiwa Lyatonga Mrema. Ndugu mwanaJF usipate shida kujua huyu Mmarangu yuko upande gani kwakua kwenye picha hiyo hakuna muheshimiwa yeyote wa upinzani kasoro yeye! Picha nitawaletea baadae au kama kuna mwenye picha gazeti Mwananchi tarehe 23/06/2011 achangaie ili ukweli ueleweke.
Mrema mwacheni apumzike na posho yake ya ubunge amekwenda kwa babu hajapona,awaachie wakina lissu,zitto nk.wafanye kaziNdugu wanaJF wenzangu kwa wale ambao walikua wanapata shida yakujua muheshimiwa Augustine Lyatonga Mrema ni mwenyekiti wa chama gani au ni mwanachama wa chama gani basi soma gazeti toleo la leo la Mwananchi alhamisi ukurasa wa mbele utakuta picha inayomuonyesha waziri wa fedha na uchumi ndugu Mustafa Mkulo akipongezwa na wabunge pamoja na mawaziri wote ni kutoka chama CCM baada ya kupitishwa bajeti ya serikali mwaka wa fedha 2011 - 2012 mjini Dodoma akiwapo muheshimiwa Lyatonga Mrema. Ndugu mwanaJF usipate shida kujua huyu Mmarangu yuko upande gani kwakua kwenye picha hiyo hakuna muheshimiwa yeyote wa upinzani kasoro yeye! Picha nitawaletea baadae au kama kuna mwenye picha gazeti Mwananchi tarehe 23/06/2011 achangie ili ukweli ueleweke.